Huyo mzungu ni raiya wa KenyaBw./Bi. Kisukari. Asante kwa kuchangia. Majuzi mime panda KQ kuelekea LHR jamaa wamebadilika pengine baada ya kupata CEO (mzungu)...
Hehe Sebastian mikosz a Kenyan? Ngunze and naikuni yes..Huyo mzungu ni raiya wa Kenya
1. Naikuni na Ngunze waliwapa "michepuko" ya kusupply bidhaa na huduma KQ wakawa wanainflate bei hatari.Hehe Sebastian mikosz a Kenyan? Ngunze and naikuni yes..
I agree, hatuwezi kuwa na partnership nao then compete for customers here in Africa, ndo maana in the latest Agm held last week hilo jambo liliangaziwa na a way forward will be out soon. Katika mpango mzima shareholding yao ndani ya kampuni lazima tui dilute.1. Naikuni na Ngunze waliwapa "michepuko" ya kusupply bidhaa na huduma KQ wakawa wanainflate bei hatari.
2. Ndoa na KLM inawamaliza mchana peupe (KLM bado anakomaa/anashindana na KQ kwenye lucrative routes.
Ndio mmboreshe "kwenyu" pia muache kuajiri watu kwa ukabila halafu zile dreamliner mlizouza/azima Oman Air zirudi. Niliwahi panda from Dreamliner NBO-JHB full rahaaaI agree, hatuwezi kuwa na partnership nao then compete for customers here in Africa, ndo maana in the latest Agm held last week hilo jambo liliangaziwa na a way forward will be out soon. Katika mpango mzima shareholding yao ndani ya kampuni lazima tui dilute.
Banks to replace KLM in list of top KQ shareholders
Dreamliner zipo za kutosha ndugu, moja hio juzi kati ilikuwa inakatiza angani hadi Charles De gaule airport kule ufaransaNdio mmboreshe "kwenyu" pia muache kuajiri watu kwa ukabila halafu zile dreamliner mlizouza/azima Oman Air zirudi. Niliwahi panda from Dreamliner NBO-JHB full rahaaa
Tufanyie mpango wa Diamond Karanga tuwaletee kwa wing.Pata menu ya ukweli ndani ya kq baby, kitimoto pia kipo kwa wateja wetu 'makafiri', mashirika mengine wanapeana njugu tu, ila sitawataja[emoji3][emoji3] View attachment 598113