Ya kawaida sana hiyo na mahali sio malipo ya bidhaa hivyo inazungumzika na hailipwi yote.. Kama umempenda mtafute mkakamilishe jambo hilo jema.. Ndoa ni ibadaKuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Nimeuliza kuhusu mama yako sio wewe. Unajua kusoma kiswahili ?Mimi mwenyewe nimelipiwa 6M achana na mama yangu,
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Mwanaume hana pressure ya ndoa kama mlionayo nyie wanawake usifikiri misukumo yenu na kwa mwanaume ipo.Nawashangaa wanaume wa kataa ndoa, ndio hao baadae watataka waoe hata vichaa ili wasitirike kipindi cha magonjwa yanayohitaji kuhudumiwa na mke🚮
Katakuwa kadada kafupi, kembamba half kanavaa miwani, huwa vinakurupukaNimeuliza kuhusu mama yako sio wewe. Unajua kusoma kiswahili ?
1.5 unakimbia bro?🤣Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Mjinga sana wewe. What's 1.5 m?Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Huyo atakuwa miziziologist!Daktari mzima analeta upuuzi kama huu. Hebu kaa na Wazee wako uwaulize aliyekuzaa alikuwa na thamani gani.
Wacha kujishusha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sihami JFKatakuwa kadada kafupi, kembamba half kanavaa miwani, huwa vinakurupuka
wanachangamsha genge tu,Nawashangaa wanaume wa kataa ndoa, ndio hao baadae watataka waoe hata vichaa ili wasitirike kipindi cha magonjwa yanayohitaji kuhudumiwa na mke🚮
mahari sio mahali!!!!!!!!Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
toa mahari, ndo mila za tzMwanaume hana pressure ya ndoa kama mlionayo nyie wanawake usifikiri misukumo yenu na kwa mwanaume ipo.
Halafu fahamu kuwa ndoa sio jambo la kustiriana akili za wapi hizi.
Nyie wanawake mkisha olewa tayari maisha mlisha maliza hiyo mentality mnayo nyie wenyewe sio wanaume
Taykuni kama taykunUngemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.
Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)
Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.
Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
Biashara ya utumwa ilishapigwa marufuku ya nini mimi niiendeleze ?toa mahari, ndo mila za tz
kupata mke ambae hatolewi mahari ni ngumu
toa tu, kwani hata ukishamuoa si utakuwa unamtunza? mwanaume kaza
Safi sana. Tukiwa na kizazi kama hiki lazima Tanzania iendelee.[emoji3][emoji3] 1.5m tabora napata zaidi ya heka Tano tayari kwa kilimo Cha mpunga mwezi wa 11.
Nyingi sana kwa upande wangu siwezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.
Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)
Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.
Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu