Eti anataka mahari milioni 1.5

Eti anataka mahari milioni 1.5

Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
Ya kawaida sana hiyo na mahali sio malipo ya bidhaa hivyo inazungumzika na hailipwi yote.. Kama umempenda mtafute mkakamilishe jambo hilo jema.. Ndoa ni ibada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashangaa wanaume wa kataa ndoa, ndio hao baadae watataka waoe hata vichaa ili wasitirike kipindi cha magonjwa yanayohitaji kuhudumiwa na mke🚮
Mwanaume hana pressure ya ndoa kama mlionayo nyie wanawake usifikiri misukumo yenu na kwa mwanaume ipo.

Halafu fahamu kuwa ndoa sio jambo la kustiriana akili za wapi hizi.

Nyie wanawake mkisha olewa tayari maisha mlisha maliza hiyo mentality mnayo nyie wenyewe sio wanaume
 
Safi sana, kwanza unatoa hiyo pesa iliyobatizwa jina la mahari kwajili ya nini???

Nchi masikini kama hii ambayo kijana anakabiliwa na ugumu wa maisha unatoa pesa kwajili ya kufurahisha watu.

Isipokuwepo hiyo biashara mnayoiita mahari nini kitatokea?
Hamtazaa?
Hamtapendana?
Mtaachana?

Wafu wanaendelea kuwazika wafu wao...
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
1.5 unakimbia bro?🤣

yesu wangu
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
Mjinga sana wewe. What's 1.5 m?
 
Nawashangaa wanaume wa kataa ndoa, ndio hao baadae watataka waoe hata vichaa ili wasitirike kipindi cha magonjwa yanayohitaji kuhudumiwa na mke🚮
wanachangamsha genge tu,

watu ambao hawajaoa kwa makusudi ni wachache sana
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
mahari sio mahali!!!!!!!!
 
Mwanaume hana pressure ya ndoa kama mlionayo nyie wanawake usifikiri misukumo yenu na kwa mwanaume ipo.

Halafu fahamu kuwa ndoa sio jambo la kustiriana akili za wapi hizi.

Nyie wanawake mkisha olewa tayari maisha mlisha maliza hiyo mentality mnayo nyie wenyewe sio wanaume
toa mahari, ndo mila za tz

kupata mke ambae hatolewi mahari ni ngumu

toa tu, kwani hata ukishamuoa si utakuwa unamtunza? mwanaume kaza
 
Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.

Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)

Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.

Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
Taykuni kama taykun
 
Hahahahah teh teh teh tehteh tehteh we bhana kaza wasikuyumbishe hao raia......au kama vipi piga mimba fasta mahali itashuka mpaka laki amini ivo mtu wangu ohoo
 
[emoji3][emoji3] 1.5m tabora napata zaidi ya heka Tano tayari kwa kilimo Cha mpunga mwezi wa 11.

Nyingi sana kwa upande wangu siwezi
Safi sana. Tukiwa na kizazi kama hiki lazima Tanzania iendelee.
Hakuna kuwekeza kwenye mapenzi wakati wanawake wenyewe wanachokupa ni K tu.
Unatumia gharama nyingi halafu mnaachana au kanagongwa nje.
 
Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.

Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)

Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.

Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa ulitaka umchukue bure
Wacha kukimbia majukumu oa mkuu kuudumia mwanaume na kulala uchi kila sku ni kaz kua na huruma kufunguliwa mlango usku ukiwa ushapiga vyako na bado unataka mzgo
 
Back
Top Bottom