Eti anataka mahari milioni 1.5

Eti anataka mahari milioni 1.5

Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.

Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)

Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.

Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
Watibeli hatutoi mahari🤣
 
Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.

Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)

Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.

Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
Mtibeli mbona umeongea kwa uchungu Sana 😂😂😂🤣🤣🤣🤣
 
kwanini usimpe laki 9,,,,laki 5 inayobaki muende honeymoon siku 3 hoteli ya kawaida mle kuku na mnywe mvinyo mfurahie maisha
HIYO LAKI INAYOBAKI MTOE SADAKA KWA WASIOJIWEZA.
 
[emoji3][emoji3] 1.5m tabora napata zaidi ya heka Tano tayari kwa kilimo Cha mpunga mwezi wa 11.

Nyingi sana kwa upande wangu siwezi
me niliambiw million 1.6 nikatoa kilo 5 mpaka sasa nadaiwa na mke ninae wanasubil nife waje kudai msibani
 
Kuna watu wanaona 1.5M ni ndogo loh!
Hamkijua kipato cha pangu pakavu..

Mwanamke sio bidhaa mnunuliwe..
Achaneni na utamaduni wa kizmaani,we chukuliwa bure mkaanze maisha lasivyo wengi wanaishia kuwa single mama
 
Ndoa ni UTAPELI kuanzia hizo process za POSA na MAHARI utapeli unaanzia hapo. Umejionea?

Kataa Ndoa. Ndoa ni wizi.

Wenzio wamemtombesha bure bure wewe unaenda kuuziwa kwa 1.5 huku interest rate inapanda kwa matumizi INDIRECTLY ya kila siku kwake na kwa UKOO wake.
ni kweli mkuu ndio maana kwa dini zetu za kiafrika mababu walioa wanawake wengi na sababu zilikuwa ni nguvu kazi na kuongeza idadi ya watoto/nguvu kazi nyingine. na ndio walikuwa wazalishaji ktk familia. mahari ilikuwa ni kubwa, walilipiwa mahari hadi ng"ombe 50. wengine hadi 100. hii ilikuwa na maana" tofauti na hawa wa sasa wanajiuza/wanauzwa wao kama wao tu, yaani unauziwa uchi wake tu na hana kingine cha kutoa zaidi ya kuhitaji matunzo kutoka kwa mwanaume

hawa wanawake wa sasaivi wengi wao sababu ya kulipishwa mahari kubwa haipo.
ukichunguza maisha ya wanandoa wengi utagundua ni mwanamke ndie hasa alitakiwa alipe mahari ili kuingia kwenye matunzo/ usimamizi wa mwanaume. au wazazi wa mwanamke wawe wanalipa fidia kwa mwanamme anaeishi na binti yao kama asante kwa kumtunza binti yao.

ukiongelea pesa ni lazima bei ifanane na thamani ya bidhaa vinginevyo umepigwa...
 
Nimeuliza kuhusu mama yako sio wewe. Unajua kusoma kiswahili ?
Itakuwa una matatizo siyo bure,kama unauliza mambo ya mwaka themanini(nakukumbusha tu mahari haijaanza leo hata yeye alitolewa kwa thamani ya hela ya kipindi kile),na kwa nini iwe mama yangu wakati mimi nipo,tafuta hela acha makasiriko dogo,usirudie kumtaja mama yangu kwenye upuuzi wako

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa una matatizo siyo bure,kama unauliza mambo ya mwaka themanini(nakukumbusha tu mahari haijaanza leo hata yeye alitolewa kwa thamani ya hela ya kipindi kile),na kwa nini iwe mama yangu wakati mimi nipo,tafuta hela acha makasiriko dogo,usirudie kumtaja mama yangu kwenye upuuzi wako

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio unaleta makasiliko kwenye Uzi!
Taja kama hakuolewa kwa 25k[emoji16]
 
Itakuwa una matatizo siyo bure,kama unauliza mambo ya mwaka themanini(nakukumbusha tu mahari haijaanza leo hata yeye alitolewa kwa thamani ya hela ya kipindi kile),na kwa nini iwe mama yangu wakati mimi nipo,tafuta hela acha makasiriko dogo,usirudie kumtaja mama yangu kwenye upuuzi wako

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Bado hujajibu swali. Mama yako ni wewe ? Haya jibu swali lile nililo kuuliza sitaki kujua chochote kuhusu wewe bali mama yako.
 
Mwenyewe ni mpinga mahari mkubwa sana, unalipia mahari kwa ajili ya kitu kishakutana na kuharibiwa huko? Hapa wanaume hatutendewi haki hata kidogo.

Mahari is for the purity, hata hivyo 1.5m ni reasonable amount.
 
Inategema thamani ya mwanamke na maeneo yetu ya asili..Hiyo ni mahali ndogo kwa maeneo, ila kuna maeneo hata msimbazi wawili unaondoka na mke
 
Back
Top Bottom