Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Kwa hiyo Hilo shamba litakuwa ndiyo mke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Kwa hiyo Hilo shamba litakuwa ndiyo mke?
Huyu ni Dr kabisaa au ni ile ya Dr RemmyKuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Mmmh, mahari ni lazima,hakuna ndoa bila mahari, kama hakuna mahari jua hakuna ndoa itafungwa.Hivi mwanamke akiolewa bila mahari anapungukiwa nini katika maisha yake ?
Dr wa kaliua huyo huoni kuwa ni mganga wa asili huyo?Kumezuka mtindo hapa JF wa member kujiita kwa tittle ya Dr halafu ukiwachunguza sana wanafanana fanana hata michango yao hapa JF.
Umesoma swali na ukaelewa ?Mmmh, mahari ni lazima,hakuna ndoa bila mahari, kama hakuna mahari jua hakuna ndoa itafungwa.
Sasa hiyo si nauli tuuu kuleta ndugu siku mahari....wewe uko serious au unatàka kulelewa ??.....ongsa 5m plus 1mil? Wewe mume kweli ??Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀