Eti awe mwanamke.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti nataka kwenda South Africa akafanyiwe upasuaji awe mwanamke.
Baba yake kusikia hivyo presha zikampanda akaanguka na kuzimia
 
Wanawake wengi wakat wanaume wachache...sasa baadh ya wanaume wanataka wajigeuze wawe wanawake mbona mnataka kuwapa wakati mgumu dada zetu
 
hey!pamoja na jitihada zetu kwenye malezi tuwaombee sana watoto wetu
 
amchunguze huyo mtoto-watu watakuwa washakula huyo
 
iyo ni kazi ya shetani mara nyingi muovu anapenda kushindana na kazi za mungu.mungu kamuumba mwanamke ila muovu ibilisi kamdanganya kaona sio
 
Yeuwiiii....mbona dogo kashapoteza mwelekeo huyo???

Bujibuji huyo dogo mwonekano wake umekaaje ni mrembo kidogo yaani features zake hazijakaa kiume?
 
mh aombewe huyo mtoto maana n hatari hiyo
 

David Cameroon
 
Reactions: Mbu
Huu uzi umekaa kulia kushoto, kushoto kulia. Ahsante kwa kutupiga changa la macho. Au unataka tutaharuki eeenh?
 
Huyo dogo haina haja ht y kubadilisha!! mwambie 2sharuhusiwa hivyo hivyo.
 
eeh mola msamehe mja wako
 

Huyo alishakuwa mwanamke siku nyingi!! Loh!
 
Influence za bwana Cameron hizo! Sio mwanao kweli?
 
ana macho mazuri sana, na sura nzuri kuliko za dada zake

Maskini wee.....basi tena tushampoteza. Counselling haitamsaidia??wazazi wake waangalie uwezekano wa kumpatia proffessional counselling popote pale hata nje ili abadilike. Inauma sana kwa mzazi kuona mwanao anakuwa "devidi kameruni" achilia mbali kutaka kuwa mwanamke unaeza jilaani na kumkosea Mungu kabisa
 
ndio maana cameroon ameomba tuzitambue haki zao.maana amefanya reseach ndogo na kugundua tanzania wapo wengi...hawajionyeshi kwa kuwa hatuzitambui haki zao..........naishia hapo kwa leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…