Tetesi: Eti Baby Latifah sio wa Diamond

Nasikia wanaume wa Darisalama ndo wateja wakubwa wa magazeti ya Sani,Ijumaa,Risasi na Kiu kuliko akina dada.Haya ndio matokeo yake.


Sio Darisalama, sema Dar es salaam, we mkoa wenu wa Shinyanga tukiandika Shinyingi utafurahi?
 
Huyo jamaa wa kiganda nasikia ana mkono wa sweta,sasa mtoto kakutana na kitu HALAL, cha tandale kachanganyikiwa,dogo ana hela na mechi imaonyesha aniweza,manake kwa jinsi anavyojituma kwenye stage si mchezo,ndio maana hawa dada zetu akinankuliwa na dancer huwa kichomoka ni majaliwa.
 
hako kamchongo nimekachoka kwa kweli. afu hakana effect yeyote kwnye jamii.
 
mbona kama umepanic au na wewe ni wale team, huwaga sina muda kuendeleza maongezi na mtu aina yako, Asante kwa kunisoma na kuniquote.
 
mbona kama umepanic au na wewe ni wale team, huwaga sina muda kuendeleza maongezi na mtu aina yako, Asante kwa kunisoma na kuniquote.


Akili zako hazikutoshi
 
Ningeweza kuweka like zaidi ya moja ningeweka likes million mia nane.. Nmecheka had basi
 


Sisi inatuhusu nini??

Awe hata mtoto wa nyani ngabu
 
Mdomo Wa Tiffa Ni Diamond Mtupuuu..kama vipi kakojoee Ulaleeee
 
Basi tufanye mtt c wake ila yy ameamua kumuasili.. tumsaidie kumshauri ktk kaz yke y muziki na si huu upuuzi
 
Wewe weweee!!!!Tafuta kazi za kufanya hata kumenya Viazi vya Chips kwa Wauza Chips... Hatupimi DNA Na wala Hatujinyongii..kazi kwenu!!!nyambafuuu
 
Yaani siku hizi hutenganishi mwanamke na mwanaume,wanaume nao wanasuta wenzao eti
 
Acha kufuata mkumbo wewee. Wanaume wa Dar ni wasafiri, mabaharia, wasomi, wapiga dili, watu wa mission na ni watu smart sana. We kaa huko huko usije na jembe huku.
Mtoa mada yupo kundi gani katika hayo uliyoyataja[emoji12] [emoji12]
 
Hizi ni kick za kufanya diamond aendelee kubaki juu. Watu wanaweza sana kucheza na mind za Watu
 
Tafuta hela kijana DNA ya tiffah haikusaidii chochote,tafuta hela ili wanao waje kuishi kama Tiffah...
 
baba na mama yako wanalala njaa kijijini we umekaa kujadili kuhusu baba wa mtoto hata asiyekuwa na maslahi na wewe.....halafu mtu kama wewe tukija kusikia umekua shoga tushangae?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…