Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamaake et mwaafrikaHapana, ni Mmarekani.
Bora ungesema babaake!Mamaake et mwaafrika
Me nauliza mkuuBora ungesema babaake!
Babaake ni black kabisa.Me nauliza mkuu
kila ngozi nyeusi imetoka africa
kwani hauoni ana nywele za kipilipili...maswali gani hayo jombaaaa!!!! huyu jamaa ni mzaliwa kijiji cha kirima pale kibosho mazee,,,
Hizo bangeekwani hauoni ana nywele za kipilipili...maswali gani hayo jombaaaa!!!! huyu jamaa ni mzaliwa kijiji cha kirima pale kibosho mazee,,,
Tena Kyela 😅😅Amezaliwa Mbeya huyo
Waafrika tuna nini zaidi ya roho mbaya na ulimbukeni??Najivunia kuwa Mwafrika maana kuna vitu tunavyo Wazungu ,wachina waarabu na wahindi hawana na hawataweza kupata ni siri mnoo wazungu hawataki kuisikia inawaumiza mnoo Mungu oyeeee
hiyo unayosema imeletwa na hao unaowaona bora kutuchonganisha wenyewe lakini amini tumebarikiwa mno ondoa hizo tofauti zilizotengenezwa na wazungu nkWaafrika tuna nini zaidi ya roho mbaya na ulimbukeni??