Eti Chris Brown ni Muafrika?

Eti Chris Brown ni Muafrika?

Sema huwa hawapendi kabisa kuhusishwa na hili bara.
 
Mkasome historia vizuri sio kila Black ni Muafrika na sio kila Muafrika ni Black, ndio maana kwenye Bara la Afrika utakuta rangi mchanganyiko pia,

Mkasome historia ya Bara la Amerika na hio Marekani yenyewe ilianza kukaliwa na kina nani kabla ya Wazungu,

Mkajiulize na Bara la Amerika Kusini kwanini rangi zao ni tofauti na watu wa Amerika Kaskazini?
 
Mkasome historia vizuri sio kila Black ni Muafrika na sio kila Muafrika ni Black, ndio maana kwenye Bara la Afrika utakuta rangi mchanganyiko pia,

Mkasome historia ya Bara la Amerika na hio Marekani yenyewe ilianza kukaliwa na kina nani kabla ya Wazungu,

Mkajiulize na Bara la Amerika Kusini kwanini rangi zao ni tofauti na watu wa Amerika Kaskazini?
Watanzania Ni wavivu Sana kusoma.
 
EYsome siku hizi maarifa yapo kiganjani?walitoka Yemen... present day Syria
Yemen ni present day Syria!?..kivipi!?..Yemen ni mashariki zaidi ya nchi za kiarabu,ikiwa mashariki mwa Saudi Arabia,afrika Ina waarabu nchi zaidi ya tano, misri,Algeria, Libya,Tunisia, Morocco..huko watu wengi kuliko Yemen na Saudi Arabia,ilikuaje Yemen pawe na waarabu wachache kuliko sehemu walizokwenda vamia!?
 
Yemen ni present day Syria!?..kivipi!?..Yemen ni mashariki zaidi ya nchi za kiarabu,ikiwa mashariki mwa Saudi Arabia,afrika Ina waarabu nchi zaidi ya tano, misri,Algeria, Libya,Tunisia, Morocco..huko watu wengi kuliko Yemen na Saudi Arabia,ilikuaje Yemen pawe na waarabu wachache kuliko sehemu walizokwenda vamia!?
Hiyo historia yake ni ya kuunga unga.
 
Mbona jamaa anatokea mbinga sema wao walihamia marekani muda mrefu, hao ni ndugu zao akina komba wa matarawe,
 
Yemen ni present day Syria!?..kivipi!?..Yemen ni mashariki zaidi ya nchi za kiarabu,ikiwa mashariki mwa Saudi Arabia,afrika Ina waarabu nchi zaidi ya tano, misri,Algeria, Libya,Tunisia, Morocco..huko watu wengi kuliko Yemen na Saudi Arabia,ilikuaje Yemen pawe na waarabu wachache kuliko sehemu walizokwenda vamia!?
Hivi ujafahamu ya kwamba Brazil ina Lebanese wengi ambao idadi yao inazidi population ya Lebanon kwa sasa?
 
Hoj
ivi ujafahamu ya kwamba Brazil ina Lebanese wengi ambao idadi yao inazidi population ya Lebanon kwa sasa?
Hoja ya kiwaki kwa muktadha wa mjadala, Lebanon Ina shida ya watu kuondoka na kuwaacha wanawake wengi bila ndoa,Hilo ni dhahiri,lakini kwa la Yemen na waarabu wa kaskazini mwa afrika ni mushkeli,misri tu Ina waarabu zaidi ya 100+m
 
Mchanganyiko wa nchi za middle East.
Wenye Madai hayo husema waarabu ni saudia na Yemeni tu,Sasa ukichanganya saudia na Yemeni hawafiki 69m,Hawa waarabu wengine wanaodaiwa kuwa arabised na saudia na Yemeni imekuaje kuwazidi waasisi wao kwa idadi!?
 
Nini maana ya kuwa mwafrika?
Je, ni kuwa kwa kuwa unaishi Afrika
Je, kwa kuwa wewe ni mweusi
Je, kwa kuwa una uraia nchi flan afrika
Je, kwa kuwa wewe ni mwarabu?

Afrika wanaishi watu wa rangi na kabila mbalimbali japo wengi wao ni weusi. Mfano, waarabu, chotara, weusi, wahindi na wazungu. Hapa sasa nani mwafrika?

Kuna wengine wamehamia Afrika na kupewa uraia na wakawa waafrika.

Turudi kwenye mada.
Huyo jamaa unaposema ni mwafrika nahisi utakuwa na tafsiri yako unayoijua wewe pekee wengine hatuijui. Na nahisi yaweza kuwa kwa kuwa ni mweusi.
 
Back
Top Bottom