Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Niko mkoa wa 11 kimaisha TZ, nnje ya nchi Kenya nilishaishi mikoa mitatu tu.hiyo unayosema imeletwa na hao unaowaona bora kutuchonganisha wenyewe lakini amini tumebarikiwa mno ondoa hizo tofauti zilizotengenezwa na wazungu nk
Watu wenye hekima nimekutana nao TZ haijalishi ni mpagani au ana dini gani lakini bado Watu wema wapo duniani.