maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
We ata ukumuona mshamba humounguzii kituNingemuona mjanja kama angekua anakula 0 km.
Anakamatiaga used na nyingine zimeshashusha engine.
Hakuna jipya humo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ata ukumuona mshamba humounguzii kituNingemuona mjanja kama angekua anakula 0 km.
Anakamatiaga used na nyingine zimeshashusha engine.
Hakuna jipya humo
Ambavyo sijazoea mambo ya baby nikashtuka mbona naitwa babygirl wakati nakojoa nimesimama. Kumbe mtoto aliyezaliwa ni mtoto wa kikeYes, baby girl
😂🙌🏾 you have spit the naked truthAh..ndugu yangu hebu twende taratibu kidogo hv kweli Kwa hali hii jua linavyowaka hv kuna mwanamke kweli wa kumkataa kijana km dewji,samatta,diamond,kiba na wengineo wenye mafanikio katika nyanja tofauti tofauti? Mwanamke hupenda mwanaume mwenye mafanikio hyo tangu enzi na enzi kabla haijawa kipimo ilikuwa mwanaume mwenye mashamba na mifugo ya kutosha mimi bado sijafanikiwa ila huu ukweli mchungu naujua mpenzi wangu mamuamini lakini nina uhakika kuna baadhi ya angel akibananishwa hatoki ng'o acha nitafute hela tu sio lazma nifanane nao huwezi tafuta hela ukawazidi wote ila japo ya kujikimu na kumtunza mtoto mzuri isiwe pangu pakavu kabisa lawama hiyo!
Katafuta kakosaTafuta pesa mkuu na mengine utazidishiwa
Njoo kwangu mi staki pesa kabisa japo Nshazeeka mieAh..ndugu yangu hebu twende taratibu kidogo hv kweli Kwa hali hii jua linavyowaka hv kuna mwanamke kweli wa kumkataa kijana km dewji,samatta,diamond,kiba na wengineo wenye mafanikio katika nyanja tofauti tofauti? Mwanamke hupenda mwanaume mwenye mafanikio hyo tangu enzi na enzi kabla haijawa kipimo ilikuwa mwanaume mwenye mashamba na mifugo ya kutosha mimi bado sijafanikiwa ila huu ukweli mchungu naujua mpenzi wangu mamuamini lakini nina uhakika kuna baadhi ya angel akibananishwa hatoki ng'o acha nitafute hela tu sio lazma nifanane nao huwezi tafuta hela ukawazidi wote ila japo ya kujikimu na kumtunza mtoto mzuri isiwe pangu pakavu kabisa lawama hiyo!
😂😂Tafuta pesa mkuu na mengine utazidishiwa
HahahaDuh! Ila kweli Diamond ni simba, habari za chini ya carpet inasadikika kuwa Diamond alimla Poshy Queen. Aise! Kama hizi habari ni kweli basi Diamond kanishinda tabia.
Huyu Diamond, yaani wadada wazuri wa mjini wote wake, dooh!
HahahaTafuta pesa mkuu na mengine utazidishiwa
HahahaMkuu ukiwa na pesa wanawake Wanakuja wenyewe.. Wala hana USIMBA wa hivyo....simba ni yule anawachapa na hana kitu.....sasa unahonga milioni kuna Dada atakataa?
Konde je!Kiba alishamla mda.. Sema tu hapendi show of.
So Simba now anakula viporo.
KondeNingemuona mjanja kama angekua anakula 0 km.
Anakamatiaga used na nyingine zimeshashusha engine.
Hakuna jipya humo
HahahaIngekua hivo mabikionea wasingesalitiwa
Pesa hata mimi naweza kuzitafuta broo
HahahaDemu anaonekana ni muuzaji tu,sasa Diamond kumla inakuwaje big issue?
Ishu ingekuwa diamond kumla Rihanna hivi labda