Tetesi: Eti, Diamond ana-date na Poshy Queen, ingawa mahusiano yao hayapo official huku mtandaoni

Tetesi: Eti, Diamond ana-date na Poshy Queen, ingawa mahusiano yao hayapo official huku mtandaoni

Hyo mwanamke anayekataa mamilioni hayupo dunia ya Leo,, especially kwetu Africa.... Tusijidanganye ,,,uchawi wa mwanamke ni pesa ,,,,hakuna tunguli,,,kama unajiona unapendwa kweli kuwa broke halafu utuletee marejesho....bado unapendwa na wangapi
Kisu cha Mfupa kmmmk!!!
 
Poshy queen tumekula wengi,we kama una hela sema upate connection wale ni malaya wa town,usiogope sana...fanya hivi andaa million 10..hiyo ni kwa ajili ya ticket ya ndege,hotel,na dau lake
Hahahahahahah yani ushasema malaya wa town halafu mtu aandae 10M?

Hivi unaijua ama unaisikia hio 10M mkuu? Usumbufu wa kupewa hio hela na benki tu ni zaidi ya msiba.
 
Aisee nimekutana na bidada mmoja mtandaoni poa sana Mbongo. Alikataa mamilioni kama sio mabilioni ya mtu aliyekuwa anamtaka sana kwa sababu tu alikuwa akimuona kama Baba yake. Hata mimi nilimshangaa sana hasa katika dunia yetu hii ya leo. Aliyekuwa anamfukuzia ni mbongo pia lakini siwezi kuweka details hapa.

Hyo mwanamke anayekataa mamilioni hayupo dunia ya Leo,, especially kwetu Africa.... Tusijidanganye ,,,uchawi wa mwanamke ni pesa ,,,,hakuna tunguli,,,kama unajiona unapendwa kweli kuwa broke halafu utuletee marejesho....bado unapendwa na wangapi
 
We acha tu, na bado kuna wanawake wanakesha kutamani kuwa na mtu kama diamond, all in all wanaume inabidi wajue kwamba wanawake wakati mwingiine hatuhitaji pesa zao wala umaarufu, ila tunahitaji mwanaume anaekupa thamani/heshima, kukujali na kukupenda with or without money
Wewe unajielewa madam, kuna wenzio wanachojali ni kufyatuliwa na kupewa hela tu. Yani hela iwepo tu hata kama ni mbuzi ata date nae tu! Ni vile wanyama hawajui kumake money tu. Ila bila hivyo kungekuwa na nyani wanamiliki mademu wazuri tu.
 
Ujue huu ni ukweli wangu I can't date mwanaume type ya diamond kabisa, utu wangu ni muhimu na heshima, sipendi kuzalilishwa, matusi au labda money ndo unitese hyo big no. Shida wanawake wanelelewa kudanga na kuweka hela mbele mfano mabeto, alizaa na mond ili na yeye anunuliwe nyumba kwani Hana mikono?
Kazalilishwa Hadi uchawi bado hakomi kwa mond kujipendekeza licha ya mond kuwa na wanawake lukuki
Hadi wewe unaongea haya leo! Kweli siku hazifanani!
 
Aisee nimekutana na bidada mmoja mtandaoni poa sana Mbongo. Alikataa mamilioni kama sio mabilioni ya mtu aliyekuwa anamtaka sana kwa sababu tu alikuwa akimuona kama Baba yake. Hata mimi nilimshangaa sana hasa katika dunia yetu hii ya leo. Aliyekuwa anamfukuzia ni mbongo pia lakini siwezi kuweka details hapa.
Hizo ni hadisi za nondo mla watu...ni hadithi za kusadikika tu mkuu,,hakuna ukweli wowote,,, atakae kataa millions labda na yeye anazo zaidi ya hizo,,lakini sio hawa wanawake wa nitumie nauli nije..nitumie Bandle,,nimepungukiwa kodi,,hakuna atakaye kataa mkuu,,,
 
Poshy ndio mwanamke mzur kuliko wote Tz..ila angalizo..asiwe mfupi tuu..manaa itakua iziko tu ziro yaan hamna kitu.mi mwanamke hata awe mzur vip akiwa mfupi tuu kwangu anakua mbaya
 
Poshy ndio mwanamke mzur kuliko wote Tz..ila angalizo..asiwe mfupi tuu..manaa itakua iziko tu ziro yaan hamna kitu.mi mwanamke hata awe mzur vip akiwa mfupi tuu kwangu anakua mbaya
Posh Queen ni andunje
 
Hizo ni hadisi za nondo mla watu...ni hadithi za kusadikika tu mkuu,,hakuna ukweli wowote,,, atakae kataa millions labda na yeye anazo zaidi ya hizo,,lakini sio hawa wanawake wa nitumie nauli nije..nitumie Bandle,,nimepungukiwa kodi,,hakuna atakaye kataa mkuu,,,
Hii ni kasumba mlo nayo wengi .si kila msichana utampata kwa fedha hata Kama yeye hanahiyo pesaa.nina ushahidi na ninachosema.
 
Hii ni kasumba mlo nayo wengi .si kila msichana utampata kwa fedha hata Kama yeye hanahiyo pesaa.nina ushahidi na ninachosema.
Waambie mkuu sio mda wote life ni about money
 
Duh! Ila kweli Diamond ni simba, habari za chini ya carpet inasadikika kuwa Diamond alimla Poshy Queen. Aise! Kama hizi habari ni kweli basi Diamond kanishinda tabia.

Huyu Diamond, yaani wadada wazuri wa mjini wote wake, dooh!
Unayefuatwa kupewa mkuyenge ni wewe, kaa chonjo
 
Hii ni kasumba mlo nayo wengi .si kila msichana utampata kwa fedha hata Kama yeye hanahiyo pesaa.nina ushahidi na ninachosema.
Mkuu ukijiona pesa unayo ,na bado unakataliwa basi wewe ndy una shida...jitathmini Mkuu... Pesa pia uwe smart...manukato mazuri nk...sio unanuka shombo hizo pesa zako kila mtu ataziogopa....hicho kitu ni hakika kabisa,,,money talk...hakuna mwanamke wa kukataa milioni..
 
Back
Top Bottom