Eti hili gari ni dola za kimarekani laki saba

umeanza vizuri umemaliza vibaya ...kuchezeaje pesa yan...?? unajua utajiri Wa anae nunua gari hilo ana pesa kiasi gani au unadhan anatoka kwenye spacio ndo aingie hapo?? had unakuta mtu ana nunua gari ya hivo pesa IPO RR hapo alipo zinaeza kuwa za kutosha ...

kinachokusumbua ni umaskini ...Ndo wale unamuona mtu kanunua gari ya bil 1 unaanza waza angenunua yutong kadhaa apige hela !! kwani unadhan hiyo pesa kaokota?? alishapiga pesa ndo zikajaa akanunua ndinga hilo ...


yan unataka uende nalo shoping unataka liwe na but ya kutosha ..that's a sport car sio gari ya familia
 
Write your reply... umeanza vizuri umemaliza vibaya ...kuchezeaje pesa yan...?? unajua utajiri Wa anae nunua gari hilo ana pesa kiasi gani au unadhan anatoka kwenye spacio ndo aingie hapo?? had unakuta mtu ana nunua gari ya hivo pesa IPO RR hapo alipo zinaeza kuwa za kutosha ...

kinachokusumbua ni umaskini ...Ndo wale unamuona mtu kanunua gari ya bil 1 unaanza waza angenunua yutong kadhaa apige hela !! kwani unadhan hiyo pesa kaokota?? alishapiga pesa ndo zikajaa akanunua ndinga hilo ...


yan unataka uende nalo shoping unataka liwe na but ya kutosha ..that's a sport car sio gari ya familia
 
Bilion mbili halafu viti viwili. Si bora nikanunue YUTONG lenye viti 50 na buti kama ukumbi wa sherehe.

Chenji inayobaki nikanunue korosho tu.
 
hahhaha.,acha kupangia watu matumizi mkuu kama una uchungu sana tafuta na wewe hela
 
Oooh so sad!.... Kumbe Paul walker hii ndo ilimuua?
 
Haka nahisi hakapat ajali,na kakipata haufi,na ukifa utalipwa billions of money na watengenezaj....a was just thinking loud
 
Hii ni kweli kama huku tabata aroma kuna duka la nguo na huyu Nandy basi nguo anazovaa yeye ndie zinauzwa hapo na watu wanazigombania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…