Eti hili gari ni dola za kimarekani laki saba

Eti hili gari ni dola za kimarekani laki saba

Mzuqa,

Yani binadamu hapana.

Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735

Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737

Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.

Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.


narumuk
Pesa/hela/fuba haijaumbwa na Mungu, ni kazi ya mwanadamu acha waitumie wapendavyo[emoji23]
 
Mleta mada huna hela za namna hiyo ndio maana inakukera. Lakini siku ukizipata za kutosha na zikawa zinazidi kuingia utanunua hata condom kwa milioni [emoji817]. Jiulize tu swali dogo kwanini tunanunua vito vya thamani kwa gharama kubwa sana. Ukishanunua then what. Hakuna cha ziada zaidi ya urembo na sifa. Ukiwa na hela utahitaji privilege. Lazima utofautishwe na watu wengine. Pia hiyo gari unasema mbaya angalia uwezo wa engine na material zilizotumika kutengeneza. Sio vitz hiyo mkuu.
 
Mzuqa,

Yani binadamu hapana.

Porshe Carrera GT bei yake ni dola laki saba za kimarekani baada ya kodi kabla ya kodi 500k$ karibia billion 2 madaf. Na kuna masenge yamenunua haya magari. Unajiuliza why? mbona watu wamekosa utu na hofu ya Mungu kuchezea pesa namna hii.
View attachment 937735

Kwanza gari lenyewe linasura mbaya. Viti ni vya wawili tu. Halafu halina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi vitu. Wazungu wamekuwa watu wa hovyo sana.
View attachment 937736View attachment 937737

Hata kama ni class na kusifiwa huu ni upuzi. Hata renji na v8 haifikii huko.

Yani kagari kadogo kabaya kanazidi hadi thamani ya nyumba? Eti kwa kuwa kametengenezwa na material za thamani. Fikiria nyumba ya million mia tu ilivyo na thamani msingi nondo na takataka zote.


narumuk
Dogo beba box achana na maisha ya watu na kama maisha ya mbele yamekushiñda rudi nyumbani usije ukawa kama Dr shika
 
Tena hao wanawapa taabu sana wale jamaa wa Parking kwani hayo magari huja na ndege na nwisho wa matanuzi hurudi na hayo magari yao kwao Saudia.

Yaani wamechoka kutoa tickets kwani namba za usajili si za UK.

Kuna sehemu ingine ya matanuzi kule Hide Park utayaona mengi tu na hata polisi hupiga nayo picha.

🙂🙂
Kweli mkuu yaani imekuwa kama maonyesho vile, wote wanakuja kutanua hapa kuanzia Qatar, UAE, Kuwait na Saudia
Imefika mahali mpaka wananchi wanaoishi maeneo hayo wamechoka na bughudha zao.

Nasikia kuna mdada mmoja familia ya mfalme alinunua mtaa kwa yeyote anaeuza anamuongezea hela nyingi zaidi ya thamani ya nyumba ili vijana wajitanue tu.

Kuna msaudia alikuja na magari manne ya kifahari na yote painted in gold ikawa ni mapicha tu hahahaha
 
Hilo gari sio la watu 2 tu huko nyuma huwa linaweza kukunjuka kukapatikana nafasi nyingine ya watu 3 na boot. Liko very automatic.Pia lina features nyingi tu ambazo magar mengi hayana.

Nani kakwambia,hilo gari ni la kifala sana.

Napenda sport cars lakini atleast iwe na 4 seaters sio couple.
 
Ila pia ikumbukwe kuna binadamu wengingine wengi zaidi ya asilimia 90 mlo wa uhakika kuupata ngumu. Hawa 1% percent hawajaligi kabisa. Kuna maduka uswis na Paris soksi tu euro 400. Saa ya mkononi euro elfu 30. Na bado masenge yananunu
Kodi yako wewe unayeshindia uji usio na sukari inatumika kununulia watawala magari ya milioni zaidi ya mia mbili kwa gari moja na bado wanatumia kodi yako kujazia mafuta na vipuri vya mabilioni ila wewe hilo halikuumi! Innakuuma mtu anayetumia pesa aliyoipata kwa jasho lake kununua kile akipendacho?
 
Back
Top Bottom