Eti hili lina ukweli kuhusu wakaka wenye haya majina?

Mwaka huu lazima na mimi nitalichonga jina langu ili liishie na hizo herufi!.

Hubert, Nobert, Robert, Wilbert, Albert, Gilbert, Stuart, Stewart...nk....jichagulie hapo.......hi hi hi hi.....
 
hakuna connection yoyote.... kuna njemba moja inaitwa 'dhakari zacharia' na inawabamba kichizi mbona...
 
Hahahah! Khaa! Heheheh! Dah! Tehetehe! Duh! Aisee! Mimi bana mimi acha nijichekee tu...
 
Hubert, Nobert, Robert, Wilbert, Albert, Gilbert, Stuart, Stewart...nk....jichagulie hapo.......hi hi hi hi.....
Haya kuanzia saa hii jina langu jipya litakuwa Sweetbert!.
 
assumption zingine zinawadanganya,prove it km wanakubalika.
 
Hii thread hii... Kiboko!

Je wenye majina ya Ismail,Mahmoud,Issa,Karim,Abdulrahman,Hussein,hayo je..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…