Eti Hizi ndio hoja walizotumia kuhukumu swala Feitoto?

Eti Hizi ndio hoja walizotumia kuhukumu swala Feitoto?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
1. Kulipa ela kabla ya kupeleka barua
2. Kutofanya mazungumzo na club.
3. Kuvunja ndoa gafla haikubaliki. Yani uamke asubuhi uondoke nyumbani.(kwenye hivyo vipengere vyote sijaona hoja ya kisheria au labda Wana kumbukumbu za maamuzi ya FIFA kwa kesi Kama hizo walizotumia)

4. Kuna vipengere ambavyo vinambana Feitoto ndani ya mkataba. (Lakini hajavitaja. Na hapa uwenda Kuna hoja. Tff ikitoa ufafanuzi hapa utasaidia saidia Sana klabu)

Tff kwanza ijue swala la Feisal Salum sio la Simba na uyanga.

Iweje wapate muda wa kuzungumzia hili lkn hawaweki hukumu?!!
Hukumu ya Feitoto kuwa wazi Ni semina tosha kwa wachezaji na vilabu ili kujua namna ya kufunga mikataba. Tff uweke wazi tu walivyoshugulikia Hilo swala, vipengere walivyopitia na maamuzi yalivyofikiwa sio hizo kampeni.
Mpaka Sasa hukumu yenye mwenendo mzima wa shauri Tff bado hawajampa Feitoto, hawataki kutoa hadharani na bado wanasema wanataka kusaidia wachezaji kujua mikataba yao.

Pili kumekuwa na lugha gongana. Kamati inasema haikumuhoji Feitoto lkn wakili wake anasema alihojiwa. Je Kuna Nini Kati apa


Kwa mujibu wa kiongozi wa kamati ya Sheria ya Tff mpaka Sasa Feisal hajapewa hukumu yake. (Kwasababu anasema akitaka watampa bila kusema lini)7
 
1. Kulipa ela kabla ya kupeleka barua
2. Kutofanya mazungumzo na club.
3. Kuvunja ndoa gafla haikubaliki. Yani uamke asubuhi uondoke nyumbani.(kwenye hivyo vipengere vyote sijaona hoja ya kisheria au labda Wana kumbukumbu za maamuzi ya FIFA kwa kesi Kama hizo walizotumia)

4. Kuna vipengere ambavyo vinambana Feitoto ndani ya mkataba. (Lakini hajavitaja. Na hapa uwenda Kuna hoja. Tff ikitoa ufafanuzi hapa utasaidia saidia Sana klabu)

Tff kwanza ijue swala la Feisal Salum sio la Simba na uyanga.

Iweje wapate muda wa kuzungumzia hili lkn hawaweki hukumu?!!
Hukumu ya Feitoto kuwa wazi Ni semina tosha kwa wachezaji na vilabu ili kujua namna ya kufunga mikataba. Tff uweke wazi tu walivyoshugulikia Hilo swala, vipengere walivyopitia na maamuzi yalivyofikiwa sio hizo kampeni.
Mpaka Sasa hukumu yenye mwenendo mzima wa shauri Tff bado hawajampa Feitoto, hawataki kutoa hadharani na bado wanasema wanataka kusaidia wachezaji kujua mikataba yao.

Pili kumekuwa na lugha gongana. Kamati inasema haikumuhoji Feitoto lkn wakili wake anasema alihojiwa. Je Kuna Nini Kati apa
View attachment 2476825

Kwa mujibu wa kiongozi wa kamati ya Sheria ya Tff mpaka Sasa Feisal hajapewa hukumu yake. (Kwasababu anasema akitaka watampa bila kusema lini)7
Mkuu kwann usisubiri nakara ya hukumu? Unakimbilia wapi kwani? Hakuna mwerevu asiejua kuwa issue ya Feisal ki Emotional Feisal yupo sawa ila issue inapokuja kiutaratibu Feisal hayuko sawa na hukumu haijazingatia Emotional ila inaaangalia miongozo ya FIFA inasemaje.
 
1. Kulipa ela kabla ya kupeleka barua
2. Kutofanya mazungumzo na club.
3. Kuvunja ndoa gafla haikubaliki. Yani uamke asubuhi uondoke nyumbani.(kwenye hivyo vipengere vyote sijaona hoja ya kisheria au labda Wana kumbukumbu za maamuzi ya FIFA kwa kesi Kama hizo walizotumia)

4. Kuna vipengere ambavyo vinambana Feitoto ndani ya mkataba. (Lakini hajavitaja. Na hapa uwenda Kuna hoja. Tff ikitoa ufafanuzi hapa utasaidia saidia Sana klabu)

Tff kwanza ijue swala la Feisal Salum sio la Simba na uyanga.

Iweje wapate muda wa kuzungumzia hili lkn hawaweki hukumu?!!
Hukumu ya Feitoto kuwa wazi Ni semina tosha kwa wachezaji na vilabu ili kujua namna ya kufunga mikataba. Tff uweke wazi tu walivyoshugulikia Hilo swala, vipengere walivyopitia na maamuzi yalivyofikiwa sio hizo kampeni.
Mpaka Sasa hukumu yenye mwenendo mzima wa shauri Tff bado hawajampa Feitoto, hawataki kutoa hadharani na bado wanasema wanataka kusaidia wachezaji kujua mikataba yao.

Pili kumekuwa na lugha gongana. Kamati inasema haikumuhoji Feitoto lkn wakili wake anasema alihojiwa. Je Kuna Nini Kati apa
View attachment 2476825

Kwa mujibu wa kiongozi wa kamati ya Sheria ya Tff mpaka Sasa Feisal hajapewa hukumu yake. (Kwasababu anasema akitaka watampa bila kusema lini)7
Mbona unateseka sana? Kutwa unalialia tu kuhusu hiyo kesi ya Fei Toto! Unatafuta huruma? Umeajiriwa kwa kazi hiyo?

Si mlijitapa humu ya kwa kwamba huyo mchezaji atatambulishwa mapema iwezekanavyo kwenye hiyo timu yake mpya?

Kwa Morrison mlifurahi sana! Ila kwa huyu dogo, mnalia! Hopeless kabisa. Na yeye apeleke mashtaka yake CAS, kama walivyofanya Yanga kipindi kile! Badala ya kutafuta huruma, kwa ujinga wake mwenyewe
 
Jamaa unatapatapa mno na hii ishu.

Hivi unahisi Ni wewe peke yako unaweza ku analyze issues? Tulia basi unajifunua unajiacha wazi mkuu, una maslahi gani sijui.

Kila mtu kaona kilichotokea na kasikia maelezo ya kamati, tunaweza ku analyze wenyewe, umetoa uzi nyingi mno!

kwanini unahangaika hivi asee
 
Jamaa unatapata mno na hii ishu.

Hivi unahisi Ni wewe peke yako unaweza ku analyze issues? Tulia basi unajifunua unajiacha wazi mkuu, una maslahi gani sijui.

Kila mtu kaona kilochotokea na kasikia maelezo ya kamati, kwanini unahangaika hivi asee
Huu uzi sijui ni wa ngapi! Atakuwa amepewa hela ya bando bila shaka na hao wapuuzi wenzake waliomshawishi huyo dogo.

Siyo bure kwa mtu mzima na akili zako, kutwa nzima unakuja na mada zenye maudhui yale yale!! "Fei Toto kaonewa", mara sijui "Fei Toto hajatendewa haki"!!!

Ujinga mtupu
 
Kamati imeacha nafasi ya yeye kwenda juu zaid kama ameonewa, hizi nguvu mnazopoteza hapa changisheni mmpe pesa ya kwenda CAS. Vinginevyo unajadili upuuzi tu..
Anaenda juu na Nini? Hukumu hajapewa. Wala mwenendo wa kesi hajapewa.
 
Mbona unateseka sana? Kutwa unalialia tu kuhusu hiyo kesi ya Fei Toto! Unatafuta huruma? Umeajiriwa kwa kazi hiyo?

Si mlijitapa humu ya kwa kwamba huyo mchezaji atatambulishwa mapema iwezekanavyo kwenye hiyo timu yake mpya?

Kwa Morrison mlifurahi sana! Ila kwa huyu dogo, mnalia! Hopeless kabisa. Na yeye apeleke mashtaka yake CAS, kama walivyofanya Yanga kipindi kile! Badala ya kutafuta huruma, kwa ujinga wake mwenyewe
Elewa sio huruma. Tunataka hukumu. Hukumu na mwenendo wa kesi yake Ni muhimu kwa mwanamichezo yoyote. Ata Kama atafungiwa lkn tuelezwe vipengere vilivyotumikA
 
Mkuu kwann usisubiri nakara ya hukumu? Unakimbilia wapi kwani? Hakuna mwerevu asiejua kuwa issue ya Feisal ki Emotional Feisal yupo sawa ila issue inapokuja kiutaratibu Feisal hayuko sawa na hukumu haijazingatia Emotional ila inaaangalia miongozo ya FIFA inasemaje.
Hukumu hiyo wanaificha kwanini. Muda haupo wa kusubiri. Swala hukumu iwekwe wazi
 
Baba kazia hapo hapo mpaka wateme bungo hao kima
 
Feisal hajapewa hukmu yake?? Nani alimuwakilisha kwenye kesi yake?? Kuweni na akili enyi Mbumbumbu, msaidieni kijana aache kusikiliza waganga njaa, huyo mwanasheria wake kitendo cha kukinzana tu na mteja wake ni kiashiria tosha kabisa kuwa anamnyonya vihela vyake vilibaki wakat anajua kijana hajafata utaratibu.

Halafu wewe huujui mkataba wa Fei zaidi ulichokikariri ni hicho kifungu akichokiweka kumruhusu kuvunja mkataba ila kinyume chake hajaweka kinachomuambia awasiliane na upande wa pili kuonyedha nia yake ya kuvunja.

Hivi Yanga ni wajinga wampe mkataba mchezaji unaomruhusu kuvunja tu mkataba akijisikia, mfano mechi inaendelea uwanjani mchezaji anatoka nje na kwenda kulipa signing fees na mishahara halafu harudi uwanjani na nyinyi Mbumbumbu mtasema hajakosea kwakuwa kalipa alichokisema yeye.
 
Back
Top Bottom