balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Fei toto,mtoto mdogo,elimu ndogo akadanganywa na akadanganyika.Sasa analia na kusaga menoHuu uzi sijui ni wa ngapi! Atakuwa amepewa hela ya bando bila shaka na hao wapuuzi wenzake waliomshawishi huyo dogo.
Siyo bure kwa mtu mzima na akili zako, kutwa nzima unakuja na mada zenye maudhui yale yale!! "Fei Toto kaonewa", mara sijui "Fei Toto hajatendewa haki"!!!
Ujinga mtupu