Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

lets say you are 30 years old, can you abstain forever? Hilo ndo suala la msingi, sio kutofanya kwa mwaka mmoja au miwili. Kwa maisha yako yote ndo iwe basi. Unaweza? Mie naona siwezi.

Hahahaaaaaaaaa lol likinikuta na mungu anisaidie
 
Habar ya hapa, wakubwa shikamooni, wadogo habari zenu.
Nitarudi baadae, nimalize kwanza haya niliyonayo hapa.
Mbarikiwe.
 
Habar ya hapa, wakubwa shikamooni, wadogo habari zenu.
Nitarudi baadae, nimalize kwanza haya niliyonayo hapa.
Mbarikiwe.

marhabaa, elodii ivi ile ngera ipo kidogo mana hili sredi limekaa kimtego
 
I.............take you.............to be my lawfully (husband/wife), to have and to hold, ... for better for worse, for richer for poorer, in sickness and in health, ........till death do us apart

Nowadays, hiyo ni format tu kwa wahusika kwa asilimia za kutosha. Ilimradi aonekane alioa/aliolewa. Upendo wa dhati kushnehi...! Inafanya kazi kwa wachache tu wanaomcha Mungu kwa dhati.
 
Sweetness amendments are needed on the above paragraph. Hicho kipengele kwenye red kisingekuwepo mbaya sana unaapa kanisani/msikitini alafu baadae unakiuka ndio maana balaa haziishi dunia hii.
Hivi ni wewe au naota l.o.l!!!! Ulikuwa umepotelea wapi masai camp au......
 
kajipitisha mwenyewe sharti aliwe, ama sivyo utachekwa
 
aaaa tusiwe wanafik jamani.

Subira ngumu sana na hasa kama bado kijana. Ikiwa nipo above 50 maybe nitaweza lakini chini ya hapo nitadai talaka.

better that way than to cheat

Asante sana Gaijin kweli wewe Mwalimu ...

Shetani mwenyewe alikuwa Malaika wa mungu lakini one day alitaka kuwa zaidi mungu..

Zaidi ndo maana huwa hata tukiapa tunasema mungu nisaidie
 
Zion Daughter nakuona apo ''chini'' lakini haujanyanua mikono na kuiweka kwa keyboard.......:wink2:
 

Aisee Kyabu,

Ntakuwa kaunta ya Juu pale.

Na Josephine nimekuzawadia kwa leo....si uwezo unao?

Well said!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…