Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Jibu ni moja tu kama nilikupenda toka moyoni wewe mume wangu nikivumilia kunirudia usiku wa manane siku nyingine unapitiliza, na madhaifu mengine mengi lakini nimo kwani si nilikupenda mwenyewe sikulazimishwa wala kukulazimisha kunioa (maana ndoa zingine wamama wanaziforce sasa katika hili huyo mama lazima katika hali hiyo atoke tu nje ya ndoa kwani ataenda kumforce mwingine amdu) Huku nikimshirikisha na mungu anisaidie na hatimae mwisho wa siku anaweza kukuponya kabisa kwani hakuna kinachoshindikana.

Note:
Kuna wababa huwa wanaona kabisa huyu mama hanipendi ila atamlazimisha na pesa na nini kisa aliamua ataoa mke mwenye shepu fulani na sura fulani basi atafanya kila njia amuoe na wamama tulivyo dhaifu basi unaamua kukubali kuolewa. Kama mbaba ulifanya hivi tegemea kuja kusalitiwa na huyo mwanamke ukipata matatizo kama hayo na wala usije kumlaumu mtu.

conclusion:
Tuoe na kuolewa na watu tunaowapenda/wanaotupenda tusilazimishe mambo matokeo yake kuchukua maubavu ya wenzetu subiri mungu akuletee mke/mume aliekuandalia


sweetheart Maty hapa yaani sijaidhinisha uzinzi ndani ya ndoa ,ila nimejiuliza swali katika hali ya huyo dada ni kweli katenda dhambi sana ambayo kwa mungu ni ngumu kusameheka uzinifu na kujiua ,labda tu kama amepata sala ya toba kabla ya kifo chake .
Swala naloongea hapa kama ndani ya 2 years na kuendelea hakuna huduma muhimu katika sababu mbali mbali zilizo nje ya uwezo wetu ( hali ya kifo au Ugonjwa kama huyu mwenzetu ) inakuwaje Maty .??
Nashindwa kusema sana cause bado halijanifika kama hili na siombei kwa mungu linifike hata kidogo najua mungu ni mwema sana .
 
Sasa jamaa ameshatenguka kiuno na mkewe anahitaji mambo anategemea angevumiliwa mpaka kifo? mazingira ya tukio la kujivinjari hayakuwa mazuri kiukweli nikimaanisha jamaa kuugulia ndani halafu mke kuja na mtu sebuleni.

Uvumilivu una mwisho!

Hebu pata hii kitu hapa chini




The Following User Says Thank You to BelindaJacob For This Useful Post:

Dena Amsi (Today)​
 
I.............take you.............to be my lawfully (husband/wife), to have and to hold, ... for better for worse, for richer for poorer, in sickness and in health, ........till death do us apart
 
Hapo Bold sijawaonea kwa kuwa kila siku nyie huwa mnatubishia kuwa hamtoki nje ya ndoa zenu, wakati wanaume wamekuwa wakikiri kuwa huwa wanatoka....ndo maana nimewaulizeni mama zangu, katika situation kama hiyo bado hamtatoka?

Tutatoka hata kama si kwa situation kama hiyo peke yake zipo nyingi mf. Maudhi, kunyimwa ile kitu inamesa mwenzake, jamaa kutokuwepo home hadi midnight nk

BTW: Sababu zipo nyingi za kukufanya utoke nje ukawa na mpango wa kando wa kiume

Narudia,hapana na Mungu anisaidie.....

bora useme Dena watu waongo sana humu sasa izi story tunazosikia kila siku hawa wanaume wanacheat na nani embuw watu waache uongo

ni kwanini watu wasiojuana wadanganyane?simjui mtu yeyote JF kwanini wewe kama unaenda nje ya ndoa ufikiri lazima na mwenzio naenda au ntaenda? this sucks, we differ!

aaaa tusiwe wanafik jamani.
kutofautiana tabia na mtazamo hakumfanyi mtu mnafiki....accusation kubwa sana hii katika kujadili hoja.....!

Subira ngumu sana na hasa kama bado kijana. Ikiwa nipo above 50 maybe nitaweza lakini chini ya hapo nitadai talaka.

better that way than to cheat

duh,mumeo yuko kitandani mahutihuti uanomba talaka kisa uwe huru kupata tendo la ndoa?God Forbid,sikujua kuna wanawake wa hivi!

Babu watu wanapretend tu hapa mie nasema ukweli ulio wazi umeona Gajin hapo juu comment yake kawa mkweli na muwazi

Gaijin ni Mungu anasoma roho za watu kwamba wanamaanisha au hawamaanishi wasichosema?kwanini unapenda kuungwa mkono kwenye ku-justify maovu?

michelle uliza kinamama waliolewa mwanzo waliongea kama wewe not only heaven forbid ahata earth forbid mimi mimi labda mwingine



Siwezi kuuliza,niliyoisha yasikia yanatosha....wapo walioongea kama mimi na wamekutana na mikasa na kwa msaada wa Mungu wameweza kushinda matamanio ya mwili,usinielekeze kusiko.....nimeweza kukaa without sex for some years,sioni kwanini nishindwe mume wangu akiugua?

Dena watu wanataka kujifanya malaika. 🙂)

hakuna kujifanya malaika,ila kwa msaada wa Mungu tunaweza na tutayashinda....nahisi mnaosema watu wanajifanya ndo huwa mnajifanya,sasa mwaona kila mtu anajifanya!

finest kumbe unajua usifuate maneno yao fuata matendo upo...............

Endelea na uzinzi wako,i do what i say and will keep that with the grace of GOD!!





Naamini kuwa wapo wanawake waaminifu, na ambao wanaweza hasa kujinyima chochote kwa waume zao.

Mimi kwa nnavyojiona sio mmoja wa hao (inaweza ikawa tofauti likinifika), na naamini wengi ni wa kundi hili la kutoweza kustahamili (so better kudai talaka).

Napata mshangao kuona sample ya hapa JF ni almost ni yale waaminifu watupu! ....hapo tu

Tupo na Mungu azidi kutusaidia!

Nimemaliza kwa hii thread!
 
seriously contradicting indeed, i need to learn why walifanyia nyumbani kwa jamaa, hiyo haitakua mara ya kwanza

Afadhali bana na wewe bora umechangia kidogo hao walizoea hiyo tabia yao mbaya tokea siku mingi kama ni kahamu kamekushika baada ya uvumilivu wa muda mrefu kwa nini hakufanya kwa kificho kidogo? hao wababa wenyewe wakitoka nje ya ndoa kwa bahati mbaya huwa wanajilaumu baadae itakua mmama tena ndani ya nyumba yako na mumeo kalala ndani hawakupendana hao walilazimisha ndoa.
 
Babu hii story haya bwana,

Ila tu mie ningeomba hivi viapo vingefanyiwa amendment kidogo basi na idadi ya vifo vingepungua kwa wahusika.

Utasikia almost every day watu wanajitoa muhanga kwaajili ya ndoa no its too bad.

Natumai wahusika mnasoma hapa am awaiting your positive reply.
 
Sasa jamaa ameshatenguka kiuno na mkewe anahitaji mambo anategemea angevumiliwa mpaka kifo? mazingira ya tukio la kujivinjari hayakuwa mazuri kiukweli nikimaanisha jamaa kuugulia ndani halafu mke kuja na mtu sebuleni.

Uvumilivu una mwisho!



The Following 2 Users Say Thank You to BelindaJacob For This Useful Post:

Asprin (Today), Dena Amsi (Today)​
 
Asante mwalimu kwa majibu yako mazuri pekundu hapo wapo watu waaminifu tusibishe, bluu hapo umejiamulia mwenyewe kwamba huwezi ishi bila hiyo makitu uko sawa sawa kila hata mungu ndio maana kamshusha shetani na yesu/mtume kila mtu ajichagulie wa kumtumikia so kila kitu ni kukipenda tu na kukihusudu

Hapo ndo unapokosea ......hiyo kitu Mungu kaishusha niipende na niihusudu. As long as sifanyi zinaa, sioni kwa nini nisiipende.

Na kwa kuogopa zinaa ndio nikasema nitaomba talaka. Na uamuzi wa kuomba talaka kwa kuwa mwanamme hawezi kukupa haki yako ya tendo la ndoa unakubalika kidini (islam) na kiserikali.
 
Gaijin kwanini unapenda kuungwa mkono kwenye ku-justify maovu?



sijajustify ovu lolote, nimeongea reality, kuwa mimi nitadai talaka ili nisiingie kwenye uovu wa zinaa. Simple as that.

And yes kuliko ku-cheat na kuingia kwenye zinaa, nitadai talaka (sheria is on my side on this one, na yeye pia ata understand)
 
sweetheart Maty hapa yaani sijaidhinisha uzinzi ndani ya ndoa ,ila nimejiuliza swali katika hali ya huyo dada ni kweli katenda dhambi sana ambayo kwa mungu ni ngumu kusameheka uzinifu na kujiua ,labda tu kama amepata sala ya toba kabla ya kifo chake .
Swala naloongea hapa kama ndani ya 2 years na kuendelea hakuna huduma muhimu katika sababu mbali mbali zilizo nje ya uwezo wetu ( hali ya kifo au Ugonjwa kama huyu mwenzetu ) inakuwaje Maty .??
Nashindwa kusema sana cause bado halijanifika kama hili na siombei kwa mungu linifike hata kidogo najua mungu ni mwema sana .


No sijasema umeidhinisha mpenzi unajua nilivutiwa na post yako baada ya kugonga senks nikaquote wewe ila nilikosea nilikua namjibu babu, ni kweli si lakuombea likufike kwani ni janga zito ila kama mwenyewe ukiamua lisikutetereshe hili jambo unaweza kabisa kuvumilia jamani ila ukijiamulia kwamba huwezi ishi bila ku du hayo ni maamuzi ya mtu binafsi. Na hili inategemea makuzi yako yalikua vipi, kama umekua ukipendelea hii makitu haijalishi umempenda mtu hujampenda unaenda tu mradi utii kiu yako kama wababa itakua ngumu likikupata
 
Hapo ndo unapokosea ......hiyo kitu Mungu kaishusha niipende na niihusudu. As long as sifanyi zinaa, sioni kwa nini nisiipende.

Na kwa kuogopa zinaa ndio nikasema nitaomba talaka. Na uamuzi wa kuomba talaka kwa kuwa mwanamme hawezi kukupa haki yako ya tendo la ndoa unakubalika kidini (islam) na kiserikali.

Mwalimu naomba kuuliza...na endapo dini na Serikali ingekuwa hairuhusu kitu kinaitwa talaka?
 
I.............take you.............to be my lawfully (husband/wife), to have and to hold, ... for better for worse, for richer for poorer, in sickness and in health, ........till death do us apart

Sweetness amendments are needed on the above paragraph. Hicho kipengele kwenye red kisingekuwepo mbaya sana unaapa kanisani/msikitini alafu baadae unakiuka ndio maana balaa haziishi dunia hii.
 
Kuna wakati Kyabushaija alikuwa anaishi Morogoro, akifanya kazi Tumbaku. Pale kulikuwa na Mzee mmoja anaitwa "Delta". Mzee Delta alikuwa anapenda sana mabinti, lakini tatizo lake lilikuwa uwezo wa "biolojia yake kusimama". Ilikuwa inabidi mabinti wampepe na feni ya mezani hadi afikia "70 degrees".

Baada ya mke wake kufariki alioa binti mdogo kwa kulinganisha na umri wake na wakaanza kuishi kama mme na mke. Siku moja Mzee Delta akarejea nyumbani, bahati mbaya huyo mkewe akawa ametoka. Mzee akasubiri kwa takribani masaa manne na bahati usingizi ukampitia. Alivyostuka ilikuwa yapata saa 9 usiku - kushoto kulia hamna mke - akaamka kwenda sebuleni alivyofungua mlango wa chumbani akasikia kelele za mahaba sebuleni, kufika sebule akakuta mkewe juu mwanaume chini (Maria Roza's style) na shughuli ndiyo imepamba moto..

Alianguka na kufa hapo hapo...

Mpaka leo yule Mgoni wa Mzee Delta anaishi na Tina na wamezaa watoto wawili tayari..!

Conclusion:
Mwanaume anapoishiwa uwezo wa kufanya tendo la ndoa, NI LAZIMA Mke wake atatembea nje "with immediate effect". Mwanamke anapokuwa amehakikisha "beyond reasonable doubt" kuwa mume wake "hawezi" tena huwa anajihisi kuwa "insecure" na kwahiyo lazima anahakikisha kuwa kuna mwanaume mwingine ambaye "anaweza" kumtimilizia haja zake.

Kwahiyo wanaume wenzangu, siku ukipata ajali mbaya, au ugonjwa ambao utakufanya "impotent" acha wivu ili mkeo aweze kukuuguza kwa amani!

Ni hayo tu...
 
Hapo ndo unapokosea ......hiyo kitu Mungu kaishusha niipende na niihusudu. As long as sifanyi zinaa, sioni kwa nini nisiipende.

Na kwa kuogopa zinaa ndio nikasema nitaomba talaka. Na uamuzi wa kuomba talaka kwa kuwa mwanamme hawezi kukupa haki yako ya tendo la ndoa unakubalika kidini (islam) na kiserikali.

Vimeshushwa vitu vingi hapa duniani mwalimu mimi sikatai kwamba siipendi hii makitu huwa hata nafurahiaga vile vile lakini nikiamua huwa nina uwezo wa kukaa hata mwaka bila kugusana na mtu. Unakuta mwingine mmama wa miaka 50 mumewe ana kisukari hawezi basi anagawa kwa vijana kama pipi na huyu nae anashindwa kuvumilia? Labda ngoja niishie kwa kusema ni maumbile ya mtu labda
 
Mungu hakosei. Ndo maana akaweka talaka.
Kwa sababu anajua kuwa kamuumba binaadamu dhaifu sana (I can quote you God's words hapo).



Mwalimu naomba kuuliza...na endapo dini na Serikali ingekuwa hairuhusu kitu kinaitwa talaka?
 
mbona mkali dada hya ni maandishi tu sio vitendo :wink2::blah:
Narudia,hapana na Mungu anisaidie.....



ni kwanini watu wasiojuana wadanganyane?simjui mtu yeyote JF kwanini wewe kama unaenda nje ya ndoa ufikiri lazima na mwenzio naenda au ntaenda? this sucks, we differ!



duh,mumeo yuko kitandani mahutihuti uanomba talaka kisa uwe huru kupata tendo la ndoa?God Forbid,sikujua kuna wanawake wa hivi!



Gaijin ni Mungu anasoma roho za watu kwamba wanamaanisha au hawamaanishi wasichosema?kwanini unapenda kuungwa mkono kwenye ku-justify maovu?

michelle uliza kinamama waliolewa mwanzo waliongea kama wewe not only heaven forbid ahata earth forbid mimi mimi labda mwingine



Siwezi kuuliza,niliyoisha yasikia yanatosha....wapo walioongea kama mimi na wamekutana na mikasa na kwa msaada wa Mungu wameweza kushinda matamanio ya mwili,usinielekeze kusiko.....nimeweza kukaa without sex for some years,sioni kwanini nishindwe mume wangu akiugua?



hakuna kujifanya malaika,ila kwa msaada wa Mungu tunaweza na tutayashinda....nahisi mnaosema watu wanajifanya ndo huwa mnajifanya,sasa mwaona kila mtu anajifanya!

finest kumbe unajua usifuate maneno yao fuata matendo upo...............

Endelea na uzinzi wako,i do what i say and will keep that with the grace of GOD!!







Tupo na Mungu azidi kutusaidia!

Nimemaliza kwa hii thread!
 
Vimeshushwa vitu vingi hapa duniani mwalimu mimi sikatai kwamba siipendi hii makitu huwa hata nafurahiaga vile vile lakini nikiamua huwa nina uwezo wa kukaa hata mwaka bila kugusana na mtu. Unakuta mwingine mmama wa miaka 50 mumewe ana kisukari hawezi basi anagawa kwa vijana kama pipi na huyu nae anashindwa kuvumilia? Labda ngoja niishie kwa kusema ni maumbile ya mtu labda

lets say you are 30 years old, can you abstain forever? Hilo ndo suala la msingi, sio kutofanya kwa mwaka mmoja au miwili. Kwa maisha yako yote ndo iwe basi. Unaweza? Mie naona siwezi.
 
Kuna wakati Kyabushaija alikuwa anaishi Morogoro, akifanya kazi Tumbaku. Pale kulikuwa na Mzee mmoja anaitwa "Delta". Mzee Delta alikuwa anapenda sana mabinti, lakini tatizo lake lilikuwa uwezo wa "biolojia yake kusimama". Ilikuwa inabidi mabinti wampepe na feni ya mezani hadi afikia "70 degrees".

Baada ya mke wake kufariki alioa binti mdogo kwa kulinganisha na umri wake na wakaanza kuishi kama mme na mke. Siku moja Mzee Delta akarejea nyumbani, bahati mbaya huyo mkewe akawa ametoka. Mzee akasubiri kwa takribani masaa manne na bahati usingizi ukampitia. Alivyostuka ilikuwa yapata saa 9 usiku - kushoto kulia hamna mke - akaamka kwenda sebuleni alivyofungua mlango wa chumbani akasikia kelele za mahaba sebuleni, kufika sebule akakuta mkewe juu mwanaume chini (Maria Roza's style) na shughuli ndiyo imepamba moto..

Alianguka na kufa hapo hapo...

Mpaka leo yule Mgoni wa Mzee Delta anaishi na Tina na wamezaa watoto wawili tayari..!

Conclusion:
Mwanaume anapoishiwa uwezo wa kufanya tendo la ndoa, NI LAZIMA Mke wake atatembea nje "with immediate effect". Mwanamke anapokuwa amehakikisha "beyond reasonable doubt" kuwa mume wake "hawezi" tena huwa anajihisi kuwa "insecure" na kwahiyo lazima anahakikisha kuwa kuna mwanaume mwingine ambaye "anaweza" kumtimilizia haja zake.

Kwahiyo wanaume wenzangu, siku ukipata ajali mbaya, au ugonjwa ambao utakufanya "impotent" acha wivu ili mkeo aweze kukuuguza kwa amani!

Ni hayo tu...

Hahahaaa lol umenichekesha kweli we baba mwe! tunarudi pale pale watu hawapendani jama wanaoana tu sasa unataka kuniambia hako kabinti kalimpenda huyo mbabu si kalipenda sababu nyingine tu na kama kumegwa kalikua kanamegwa kabla hata hajafa hiyo ya kuja kufanyia sebuleni alitaka kummalizia tu mzee wa watu aendelee kujilia fyake kwa ulaini kazzzzzzzz kweli kweli
 
Who is talking?

mi ata kabla cjasema ki2, eti carmel, maana ya mkataba ni nini?
mke wa x alìvunja mkataba.
afu na mgawo huu, mnanikumbusha kina dowans.
ndoa za kikristo haziwi nullified eti kwa vile baoloji haifanyi kazi.
nikiripoti toka safarini..
 
Back
Top Bottom