Babu naona umeanza kuwauliza kama walikuwa na miaka 25 sasa.
25 kitu gani, hata 35 ngumu kuvuta subira.
Disclaimer:
Ikiwa wewe unaweza kuvumilia , shukuru Mungu na uzidi kusali kuomba Mungu akupe uwezo huo daima
Ikiwa wewe unajiona huwezi kuvumilia, omba Mungu akupe uwezo huo, au akupe uwezo wa kulitatua hilo suala bila ya kumuumiza zaidi mume wako.
Tuombe Mungu yasitukute tu haya mambo, manake kwa kweli ni magumu.
:rain::rain::rain::rain:kiukweli mimi binafsi ninao wa tatu. Na mungu anajua so siku ya ndoa ninapotoa kiapo ,nitaweka kigugumizi maksudi ili watu wajue kuna sam things ukweli. Ili wale wanaume wangu kila mmoja kwa wakati wake ajue kumbe huyu atakua ananipa ' Na nilazima niwape kwani siku husband akipata tatizo ninamaliza hukoooo!!!! Na sio home kwani sita mruhusu isreli wala ibilisi aje kuonyesha umufla wangu home kwangu na my husband. Kwahiyo mkuu ndi hivyo. Asante kwa mada. Ila Kime.... usijali we ndio utakua wapili.
kiukweli mimi binafsi ninao wa tatu. Na mungu anajua so siku ya ndoa ninapotoa kiapo ,nitaweka kigugumizi maksudi ili watu wajue kuna sam things ukweli. Ili wale wanaume wangu kila mmoja kwa wakati wake ajue kumbe huyu atakua ananipa ' Na nilazima niwape kwani siku husband akipata tatizo ninamaliza hukoooo!!!! Na sio home kwani sita mruhusu isreli wala ibilisi aje kuonyesha umufla wangu home kwangu na my husband. Kwahiyo mkuu ndi hivyo. Asante kwa mada. Ila Kime.... usijali we ndio utakua wapili.
Mwalimu wangu Gaijin....
Hapo kwenye red panawezekana? Chukulia mtu tunayemzungumzia hapa awe kigori wa miaka 22.
Mi kichwa changu kinanikatalia, sijui kwanini lakini!
Mzima kabisa, namshukuru MunguKulikoni TF?? Mzima wewe??
Lakini mama, si unamalizia huko mbali? Si lazima umlete nyumbani bana....Life must to go on!
Kama nitakuwa namwogopa mume wangu tu, hilo rahis sana kufanya. Na kamwe hatajua...! Ila sasa kuna yupo ambaye aonaye sirini yote uyafanyayo! Na huyo aonaye sirini anaweza pia kunisaidia kama yakinikuta hayo magumu ambayo kwa uwezo wangu mimi siwezi!
Hivi eti wewe babu, naomba niulize; yaani wewe umeweka sredi ili u-confirm findings zako kuwa...haiwezekani kuvumilia??? Mbona hutaki kukubaliana na some few cases ambazo unaweza ukaziita.."Extreme cases au outliers???
Hahahahaha.......ngoja nikachekee nje kule.
Nafanya research bana....nimekamata tenda kwenye journal flani hivi....
Nami naona..ila sasa uko biased!
kiukweli mimi binafsi ninao wa tatu. Na mungu anajua so siku ya ndoa ninapotoa kiapo ,nitaweka kigugumizi maksudi ili watu wajue kuna sam things ukweli. Ili wale wanaume wangu kila mmoja kwa wakati wake ajue kumbe huyu atakua ananipa ' Na nilazima niwape kwani siku husband akipata tatizo ninamaliza hukoooo!!!! Na sio home kwani sita mruhusu isreli wala ibilisi aje kuonyesha umufla wangu home kwangu na my husband. Kwahiyo mkuu ndi hivyo. Asante kwa mada. Ila Kime.... usijali we ndio utakua wapili.
Sijui kwanini hawataki kunijibu asee!
Babu naona umeanza kuwauliza kama walikuwa na miaka 25 sasa.
25 kitu gani, hata 35 ngumu kuvuta subira.
Disclaimer:
Ikiwa wewe unaweza kuvumilia , shukuru Mungu na uzidi kusali kuomba Mungu akupe uwezo huo daima
Ikiwa wewe unajiona huwezi kuvumilia, omba Mungu akupe uwezo huo, au akupe uwezo wa kulitatua hilo suala bila ya kumuumiza zaidi mume wako.
Tuombe Mungu yasitukute tu haya mambo, manake kwa kweli ni magumu.
Mada nzito hiii
Dena sijakuelewa bado yaani kwa vile wewe sio muaminifu unataka kuaminisha na watu wengi kuwa na wao sio waaminifu, bwana kama wewe sio muaminifu usifikiri na wengine wako hivyo banaNimecheka mpaka nikagonga haka ka kitu hapa chini. Huo ndo msimamo unaotakiwa bana tuache kuwa waongo ubarikiwe
The Following User Says Thank You to loveness love For This Useful Post:
Dena Amsi (Today)
Babu mdogo kuna aliyekuridhisha na majibu tuandae lile dau?
Dena sijakuelewa bado yaani kwa vile wewe sio muaminifu unataka kuaminisha na watu wengi kuwa na wao sio waaminifu, bwana kama wewe sio muaminifu usifikiri na wengine wako hivyo bana