Saa zingine kusema ukweli kunaweza kukuponza, watu wakafikiri you are pretending
Nimedhalilishwa SanaIla TF kazidi nilishamwambia huko juu back to topic hasikii huyu mtoto sijui kwanini asilizi wakubwa zake anapoambiwa kitu
Babu hiyo ndio nini tena.....Aisee we dogo hebu tutafsirie hiki kizungu Cha Ichwandimi Parishi, Nyakaaju-Bunena.
Ni Keren_Happuch wamtafuta au mwingine..????!
Dah keren wewe mungu akubariki sana watu hawataki tu kuamini kwamba ukimuomba mungu kwa dhati anafanya na hakuna jaribu anampa mtu bila sababu anajua lazima utalishinda tu. Halafu nimepata kitu hapo cha kuomba likinikuta namwambia tu mungu na kwangu kulale kama mwenzangu watu wanaoana hawapendani lakini kama kweli wampenda mwenzako hasa kwa sisi wamama kunalala bana
Halafu nilikuwa nimesahau kama nina kaimu nafasiPretender mzoefu utamjua tu kwa ku............................
Nimedhalilishwa Sana
Nimefedheheshwa Sana
Nimehuzunika Sana
Naomba Dena apewe BAN kuingia Jukwaa la MMU tu.
Halafu nilikuwa nimesahau kama nina kaimu nafasi
ndo wewe jamani. sio kwamba cjui kuliandika.ila mimetamka kbs kutoka kumoyo.naomba mwongozo
Ubarikiwe sana Maty....
Ukweli ni kwamba Mungu ni mwaminifu kwa wale wampendao. Na yeye ameahidi mlango wa kutokea magumu yakitukuta, kinachotakiwa ni sisi kuendelea kumtumaini na kumwamini kwamba anaweza! Kwa nguvu zetu hatuwezi, bali kwa msaada wake tunaweza! Bless you Maty...!
Say no to UZINZI, ukiamua kuwa mwaminifu unaweza!! Ukiamua kuushinda mwili wako unaweza. Ukiamua kutoabudu tendo la ndoa unaweza. Ukiamua kutuabudu na kusujudia NGONO unaweza. Ukiamua kuishi maisha ya utakatifu unaweza!!!!
Michelle anachokisema nakiamini asilimia mia moja!!! Na hata msipoamini hakuna shida manake haibadilishi Neema ya Mungu, nimeipenda hoja yake manake hajaacha kusema kwamba anayaweza kwa Neema na Msaada wa Mungu, kama mnaamini haiwezekani kuacha Ibada kwa roho ya Uzinzi, basi aminini kwa neema ya Mungu inawezekana kuishi bila hiyo kitu.
Kuhusu hao wanandoa mi naweza kusema sio bure kuna roho ya mauti ilikuwa inawafatilia rangu mwanzo, kuanzia huyo baba kuumia kiuono mpaka kitendo alichokifanya huyo mama lazima kulikuwa na nguvu nyingine ya kimasudi iliyokuwa inawafatilia wanandoa hawa. Na ndio maana aliishia kujinyonga, Pengine angemtafuta Mungu akatubu dhambi yake Mungu angemrehemu tu.
Hata hivo nazidi kufikiria sio nguvu ya kawaida iliyokuwa inafanya kazi ndani yao kwani haileti maana huyo mama kumpeleka huyo mzinzi mwenzie nyumbani kwa mume wake. Kwa hiyo target ya shetani ilikuwa ni kuwamaliza wote kwa njia ya mauti, sema hilo pepo la uzinzi lilikuwa chambo tuuu!!
Wito wangu kwa wanaume na wanawake!!
Mungu yupo na mungu anafanya kazi na wale wampendao, ukichagua kumpenda Mungu na kudhamiria kuzishika sheria zake atakuwezesha ktk kila jambo, hata ukianguka atakurudisha mapema hata kuacha mauti ukukute katika hali ya uovu.
Mungu ni mwema kwa wote wampendao.
Nimedhalilishwa Sana
Nimefedheheshwa Sana
Nimehuzunika Sana
Naomba Dena apewe BAN kuingia Jukwaa la MMU tu.
Saa zingine kusema ukweli kunaweza kukuponza, watu wakafikiri you are pretending
Lakini Keren wangu, Si ni Mungu huyu huyu watu wanamuomba laki si wote wanajibiwa maombi yao?
Kwani ukimuomba LAZIMA akukubalie?
Wagonjwa wangapi wanaombewa lakini hawaponi,
wangapi wanajiombea kwa imani wafaulu mitihani na wanafeli,
Wangapi wanaomba wapewe wake wema wanapewa malaya
Wengine wapate kazi nzuri wanaishia kuwa vibarua
nk nk nk nk nk
Utajiaminije kuwa ukimuomba wewe kwenye mtihani huu ni LAZIMA akusikilize? Je asipokusikia?
Eti Keren wangu, hebu nambie.
Lakini Keren wangu, Si ni Mungu huyu huyu watu wanamuomba laki si wote wanajibiwa maombi yao?
Kwani ukimuomba LAZIMA akukubalie?
Wagonjwa wangapi wanaombewa lakini hawaponi,
wangapi wanajiombea kwa imani wafaulu mitihani na wanafeli,
Wangapi wanaomba wapewe wake wema wanapewa malaya
Wengine wapate kazi nzuri wanaishia kuwa vibarua
nk nk nk nk nk
Utajiaminije kuwa ukimuomba wewe kwenye mtihani huu ni LAZIMA akusikilize? Je asipokusikia?
Eti Keren wangu, hebu nambie.
Lakini Keren wangu, Si ni Mungu huyu huyu watu wanamuomba laki si wote wanajibiwa maombi yao?
Kwani ukimuomba LAZIMA akukubalie?
Wagonjwa wangapi wanaombewa lakini hawaponi,
wangapi wanajiombea kwa imani wafaulu mitihani na wanafeli,
Wangapi wanaomba wapewe wake wema wanapewa malaya
Wengine wapate kazi nzuri wanaishia kuwa vibarua
nk nk nk nk nk
Utajiaminije kuwa ukimuomba wewe kwenye mtihani huu ni LAZIMA akusikilize? Je asipokusikia?
Eti Keren wangu, hebu nambie.
Hiyo red kweli tupu. Kwani sisi hatuombi Mungu nani kasema? Na tena na Jumuiya tunasali na misa ya asubuhi pale st.Joseph tunasali kabla ya kuingia ofisini. Hakuna mtu asimpenda Mungu sijawahi kusikia eti mtu anasema mimi simpendi mungu hata siku moja.
Asiye....... na awe wa kwanza kurusha jiwe!!! Hao ndo walikuwaje?
Mimi msimamo wangu uko pale pale bana sibadili.
Sasa nimepewa ushauri huu hapa: "Saa zingine kusema ukweli kunaweza kukuponza, watu wakafikiri you are pretending"
Ila kwa sababu siwezi kusema uongo, basi inabidi sasa ninyamaze! Nafikiri mchango wangu kwenye sredi, umeupata lakini! Kwa kuongezea, kutokujibiwa maombi, haikupi kibali cha wewe kutokuwa mwaminifu! Hicho nacho ni kipimo cha uvumilivu na jinsi gani unampenda.
Hiyo red kweli tupu. Kwani sisi hatuombi Mungu nani kasema? Na tena na Jumuiya tunasali na misa ya asubuhi pale st.Joseph tunasali kabla ya kuingia ofisini. Hakuna mtu asimpenda Mungu sijawahi kusikia eti mtu anasema mimi simpendi mungu hata siku moja.
Asiye....... na awe wa kwanza kurusha jiwe!!! Hao ndo walikuwaje?
Mimi msimamo wangu uko pale pale bana sibadili.