Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Ila TF kazidi nilishamwambia huko juu back to topic hasikii huyu mtoto sijui kwanini asilizi wakubwa zake anapoambiwa kitu
Nimedhalilishwa Sana
Nimefedheheshwa Sana
Nimehuzunika Sana

Naomba Dena apewe BAN kuingia Jukwaa la MMU tu.
 
Dah keren wewe mungu akubariki sana watu hawataki tu kuamini kwamba ukimuomba mungu kwa dhati anafanya na hakuna jaribu anampa mtu bila sababu anajua lazima utalishinda tu. Halafu nimepata kitu hapo cha kuomba likinikuta namwambia tu mungu na kwangu kulale kama mwenzangu watu wanaoana hawapendani lakini kama kweli wampenda mwenzako hasa kwa sisi wamama kunalala bana

Ubarikiwe sana Maty....
Ukweli ni kwamba Mungu ni mwaminifu kwa wale wampendao. Na yeye ameahidi mlango wa kutokea magumu yakitukuta, kinachotakiwa ni sisi kuendelea kumtumaini na kumwamini kwamba anaweza! Kwa nguvu zetu hatuwezi, bali kwa msaada wake tunaweza! Bless you Maty...!
 
ndo wewe jamani. sio kwamba cjui kuliandika.ila mimetamka kbs kutoka kumoyo.naomba mwongozo

Mimi babu kaniambia unamtafuta Karen... Ikabidi nikimbie mbio!! Hebu pata mwongozo kutoka kwa babu kwanza!
 
Ubarikiwe sana Maty....
Ukweli ni kwamba Mungu ni mwaminifu kwa wale wampendao. Na yeye ameahidi mlango wa kutokea magumu yakitukuta, kinachotakiwa ni sisi kuendelea kumtumaini na kumwamini kwamba anaweza! Kwa nguvu zetu hatuwezi, bali kwa msaada wake tunaweza! Bless you Maty...!

Lakini Keren wangu, Si ni Mungu huyu huyu watu wanamuomba laki si wote wanajibiwa maombi yao?
Kwani ukimuomba LAZIMA akukubalie?

Wagonjwa wangapi wanaombewa lakini hawaponi,
wangapi wanajiombea kwa imani wafaulu mitihani na wanafeli,
Wangapi wanaomba wapewe wake wema wanapewa malaya
Wengine wapate kazi nzuri wanaishia kuwa vibarua
nk nk nk nk nk

Utajiaminije kuwa ukimuomba wewe kwenye mtihani huu ni LAZIMA akusikilize? Je asipokusikia?

Eti Keren wangu, hebu nambie.
 
Say no to UZINZI, ukiamua kuwa mwaminifu unaweza!! Ukiamua kuushinda mwili wako unaweza. Ukiamua kutoabudu tendo la ndoa unaweza. Ukiamua kutuabudu na kusujudia NGONO unaweza. Ukiamua kuishi maisha ya utakatifu unaweza!!!!

Michelle anachokisema nakiamini asilimia mia moja!!! Na hata msipoamini hakuna shida manake haibadilishi Neema ya Mungu, nimeipenda hoja yake manake hajaacha kusema kwamba anayaweza kwa Neema na Msaada wa Mungu, kama mnaamini haiwezekani kuacha Ibada kwa roho ya Uzinzi, basi aminini kwa neema ya Mungu inawezekana kuishi bila hiyo kitu.

Kuhusu hao wanandoa mi naweza kusema sio bure kuna roho ya mauti ilikuwa inawafatilia rangu mwanzo, kuanzia huyo baba kuumia kiuono mpaka kitendo alichokifanya huyo mama lazima kulikuwa na nguvu nyingine ya kimasudi iliyokuwa inawafatilia wanandoa hawa. Na ndio maana aliishia kujinyonga, Pengine angemtafuta Mungu akatubu dhambi yake Mungu angemrehemu tu.

Hata hivo nazidi kufikiria sio nguvu ya kawaida iliyokuwa inafanya kazi ndani yao kwani haileti maana huyo mama kumpeleka huyo mzinzi mwenzie nyumbani kwa mume wake. Kwa hiyo target ya shetani ilikuwa ni kuwamaliza wote kwa njia ya mauti, sema hilo pepo la uzinzi lilikuwa chambo tuuu!!

Wito wangu kwa wanaume na wanawake!!
Mungu yupo na mungu anafanya kazi na wale wampendao, ukichagua kumpenda Mungu na kudhamiria kuzishika sheria zake atakuwezesha ktk kila jambo, hata ukianguka atakurudisha mapema hata kuacha mauti ukukute katika hali ya uovu.

Mungu ni mwema kwa wote wampendao.

Bora useme wewe maana humu huyu babu yako mchachu kuliko limau. Hebu kula na hizi za fasta fasta
The Following 3 Users Say Thank You to LD For This Useful Post:

Asprin (Today), Keren_Happuch (Today), Maty (Today​
 
Nimedhalilishwa Sana
Nimefedheheshwa Sana
Nimehuzunika Sana

Naomba Dena apewe BAN kuingia Jukwaa la MMU tu.

Anahutubia nchi nzima, mnasema TF amefanya hikiiiii, amefanya hikiiiiii, amefanya hiki biiiila kumsikiliza
Mi nadhani tatizo ni U-TF,
Kwamba ionekane TF amefanya hayaaaaaaa, ionekane TF amefanya hayaaaaaaa, tumuondolee heshima au tumwajibishe
Nimetafakari sana, kwa niaba ya MMU, kwa niaba ya CPU, nimemwandikia barua Babu ya kuomba niachie ngazi
 
Lakini Keren wangu, Si ni Mungu huyu huyu watu wanamuomba laki si wote wanajibiwa maombi yao?
Kwani ukimuomba LAZIMA akukubalie?

Wagonjwa wangapi wanaombewa lakini hawaponi,
wangapi wanajiombea kwa imani wafaulu mitihani na wanafeli,
Wangapi wanaomba wapewe wake wema wanapewa malaya
Wengine wapate kazi nzuri wanaishia kuwa vibarua
nk nk nk nk nk

Utajiaminije kuwa ukimuomba wewe kwenye mtihani huu ni LAZIMA akusikilize? Je asipokusikia?

Eti Keren wangu, hebu nambie.


Hiyo red kweli tupu. Kwani sisi hatuombi Mungu nani kasema? Na tena na Jumuiya tunasali na misa ya asubuhi pale st.Joseph tunasali kabla ya kuingia ofisini. Hakuna mtu asimpenda Mungu sijawahi kusikia eti mtu anasema mimi simpendi mungu hata siku moja.

Asiye....... na awe wa kwanza kurusha jiwe!!! Hao ndo walikuwaje?

Mimi msimamo wangu uko pale pale bana sibadili.
 
Lakini Keren wangu, Si ni Mungu huyu huyu watu wanamuomba laki si wote wanajibiwa maombi yao?
Kwani ukimuomba LAZIMA akukubalie?

Wagonjwa wangapi wanaombewa lakini hawaponi,
wangapi wanajiombea kwa imani wafaulu mitihani na wanafeli,
Wangapi wanaomba wapewe wake wema wanapewa malaya
Wengine wapate kazi nzuri wanaishia kuwa vibarua
nk nk nk nk nk

Utajiaminije kuwa ukimuomba wewe kwenye mtihani huu ni LAZIMA akusikilize? Je asipokusikia?

Eti Keren wangu, hebu nambie.

Sasa nimepewa ushauri huu hapa: "Saa zingine kusema ukweli kunaweza kukuponza, watu wakafikiri you are pretending"
Ila kwa sababu siwezi kusema uongo, basi inabidi sasa ninyamaze! Nafikiri mchango wangu kwenye sredi, umeupata lakini! Kwa kuongezea, kutokujibiwa maombi, haikupi kibali cha wewe kutokuwa mwaminifu! Hicho nacho ni kipimo cha uvumilivu na jinsi gani unampenda.
 
Lakini Keren wangu, Si ni Mungu huyu huyu watu wanamuomba laki si wote wanajibiwa maombi yao?
Kwani ukimuomba LAZIMA akukubalie?

Wagonjwa wangapi wanaombewa lakini hawaponi,
wangapi wanajiombea kwa imani wafaulu mitihani na wanafeli,
Wangapi wanaomba wapewe wake wema wanapewa malaya
Wengine wapate kazi nzuri wanaishia kuwa vibarua
nk nk nk nk nk

Utajiaminije kuwa ukimuomba wewe kwenye mtihani huu ni LAZIMA akusikilize? Je asipokusikia?

Eti Keren wangu, hebu nambie.

Babu nitakutafuta nikwambie ni vitu gani niliomba serious kwa mungu na akanifanyia vile nitakavyo vingine hata sistahili kuwa navyo, acha kabisa na utachoka kabisa siku hiyo. Tatizo watu wanaomba bila imani
 
DENA ndio maana nakupenda tungekuwa tunaambiana ukweli na matatizo yangepungua.


Hiyo red kweli tupu. Kwani sisi hatuombi Mungu nani kasema? Na tena na Jumuiya tunasali na misa ya asubuhi pale st.Joseph tunasali kabla ya kuingia ofisini. Hakuna mtu asimpenda Mungu sijawahi kusikia eti mtu anasema mimi simpendi mungu hata siku moja.

Asiye....... na awe wa kwanza kurusha jiwe!!! Hao ndo walikuwaje?

Mimi msimamo wangu uko pale pale bana sibadili.
 
Sasa nimepewa ushauri huu hapa: "Saa zingine kusema ukweli kunaweza kukuponza, watu wakafikiri you are pretending"
Ila kwa sababu siwezi kusema uongo, basi inabidi sasa ninyamaze! Nafikiri mchango wangu kwenye sredi, umeupata lakini! Kwa kuongezea, kutokujibiwa maombi, haikupi kibali cha wewe kutokuwa mwaminifu! Hicho nacho ni kipimo cha uvumilivu na jinsi gani unampenda.

Ishu si kuwa mwaminifu, ishu ni uvumilivu hapa!
 
Hiyo red kweli tupu. Kwani sisi hatuombi Mungu nani kasema? Na tena na Jumuiya tunasali na misa ya asubuhi pale st.Joseph tunasali kabla ya kuingia ofisini. Hakuna mtu asimpenda Mungu sijawahi kusikia eti mtu anasema mimi simpendi mungu hata siku moja.

Asiye....... na awe wa kwanza kurusha jiwe!!! Hao ndo walikuwaje?

Mimi msimamo wangu uko pale pale bana sibadili.

Kila mtu anamuomba mungu atakacho na anapewa wewe umeshasema msimamo wako uko pale pale kwamba huwezi kua mvumilivu usijali mungu atakulegeza mpaka ushindwe kuvumilia mara mbili ya hapo. Mimi namuomba mungu niwe mvumilivu na nimeona akifanya kazi yake
 
Back
Top Bottom