Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?


Mwalimu, Mwenyezi Mungu anendelee kuwabariki na kuwaongoza
 
THIS IS VERE VERE NASHUKUR KWA KUENDELEA KUNITUNZIA MATY MDOGO MIAKA IKIFIKA INSHALLAH NITAKUJA KUGONGA MLANGO NIKIWA NA UJUMBE MZITO UTAOONGOZWA NA ASPRIN

The Following User Says Thank You to Maty For This Useful Post:

The Finest (Today)​

Hahahaaaaaaaaa lol usijali kabisa nakutunzia wewe ni mbaba peke ako humu muaminifu lol
 


Hahaha...mwalimu bana....

At least leo tumepata picha nyingine tofauti kidogo manake ....dah!
 

Maty unayosema ni kweli na uaminifu upo, na sio kwamba tunasema hakuna waaminifu, la hasha! Tunataka kuthibitisha kwamba wote WANAWAKE KWA WANAUME HUTOKA NJE PASIPO KUSEMA MMOJA KAMZIDI MWENZAKE
 
seriously contradicting indeed, i need to learn why walifanyia nyumbani kwa jamaa, hiyo haitakua mara ya kwanza
 
Hahahaha...uliza kina mama hao...watakujibu wanawavumilia kwa MSAADA WA MUNGU.......wizi mtupu!

nitashukuru kama wakijibu. Kuna observation moja kwamba kwenye familia ambayo baba ana ugonjwa huo huwa kuna kijana wa kazi mtanashati sana au ndugu wa baba anayeishi hapo homu. Au extreme cases, huyo baba anaye rafiki yake (kama asprin) ambaye ni family friend wa karibu sana.
 
seriously contradicting indeed, i need to learn why walifanyia nyumbani kwa jamaa, hiyo haitakua mara ya kwanza

Lile pepo likiwakolea kisawasawa ni kama kipindupindu!
 
Sasa jamaa ameshatenguka kiuno na mkewe anahitaji mambo anategemea angevumiliwa mpaka kifo? mazingira ya tukio la kujivinjari hayakuwa mazuri kiukweli nikimaanisha jamaa kuugulia ndani halafu mke kuja na mtu sebuleni.

Uvumilivu una mwisho!
 

Aisee Muhosni utatufukuzia wachangiaji wa kike hapa.......... hiyo ni ngumu 'kumesa' kwao asee
 

Asante mwalimu kwa majibu yako mazuri pekundu hapo wapo watu waaminifu tusibishe, bluu hapo umejiamulia mwenyewe kwamba huwezi ishi bila hiyo makitu uko sawa sawa kila hata mungu ndio maana kamshusha shetani na yesu/mtume kila mtu ajichagulie wa kumtumikia so kila kitu ni kukipenda tu na kukihusudu
 

Maty si kwamba hakuna wanawake waaminifu wapo sana tena wengi tu lakini wapo ambao si waaminifu pia na wanakuwa na sababu za "MSINGI" si za "NYONGEZA"

Ukiona mama aliyeolewa anatoka nje ya ndoa ujue kuna sababu kubwa mnoooooo tena sana kwanini nasema hivyo "Wanawake wanapenda kutoka rohoni" Wanaume wanapenda kwa macho" Ndo maana wao ni rahisi sana kutoka nje kuliko wakina mama.

Nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…