Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Turudi kwa udhaifu wa kibinadamu uliopo, matunzo aliyopewa baada ya mume kupata tatizo. Inapofikia tamaa ya kimwili imemshika angefanya nini zaidi ya kusaidiwa na ambaye amekuwa anampa msaada kwa wakati huu mgumu. Kwa hapa ni wachache wanaweza kukwepa.

DaMie Unatumia kinywaji gani?
 
michelle uliza kinamama waliolewa mwanzo waliongea kama wewe not only heaven forbid ahata earth forbid mimi mimi labda mwingine


Chauro wanaongezea na ile "OVER MY DEAD BODY WHO ME I CANT DO IT"
 
Naona PM za DA zimegoma, nisiende off topic nikaambiwa natongoza mke wa mtu.

Ngoja nione kama kuna mdada wa kupata midhawadi hii
 
xpin ameleta hoja juu ya HOJA...!

ngoja nisepe akina mama waendelee na mambo yao
 
aaaa tusiwe wanafik jamani.

Subira ngumu sana na hasa kama bado kijana. Ikiwa nipo above 50 maybe nitaweza lakini chini ya hapo nitadai talaka.

better that way than to cheat


Shkamoo mwalimu wangu Gaijin,

Nimefurahi kuusikia msimamo na ukweli wako!
 
Dena watu wanataka kujifanya malaika. 🙂)

Hivi mwalimu unaamini kwamba pamoja na wanaume kusema kwao ukweli kwamba wanatoka nje ya ndoa wapo ambao hawatoki kabisa nje ya ndoa zao. Sasa kama kuna wanaume hawatoki nje ya ndoa zao unashindwaje kuamini kwamba kuna wanawake waaminifu, mimi inawezekana si muaminifu lakini naamini wapo waaminifu. Kila kitu ni kukiendekeza na kukipenda
 
Hahahaha...mama wakwanza moja bana!
Usisikitike, changia mada hapo bana.
Yaani jamaa limeshakunjesha utamu. Ushajua raha yake, haipiti siku mbili unaihitaji...mara ghafla imebuma...nawe ndo kwanza una miaka miwili katika ndoa. Bado mbichi na vijana mtaani hawakomi kukukonyeza...

Hutamuacha mmeo anagumia kwa maumivu kitandani ukamegwe mtaani huko?

Yaani Asprin acha nifikilie kwa kina kabla ya kutoa jibu...Hekima bana inatakiwa hapa..
 
Hivi mwalimu unaamini kwamba pamoja na wanaume kusema kwao ukweli kwamba wanatoka nje ya ndoa wapo ambao hawatoki kabisa nje ya ndoa zao. Sasa kama kuna wanaume hawatoki nje ya ndoa zao unashindwaje kuamini kwamba kuna wanawake waaminifu, mimi inawezekana si muaminifu lakini naamini wapo waaminifu. Kila kitu ni kukiendekeza na kukipenda
THIS IS VERE VERE NASHUKUR KWA KUENDELEA KUNITUNZIA MATY MDOGO MIAKA IKIFIKA INSHALLAH NITAKUJA KUGONGA MLANGO NIKIWA NA UJUMBE MZITO UTAOONGOZWA NA ASPRIN

The Following User Says Thank You to Maty For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
Babu asprin, eti wale akina mama ambao waume zao wana ugonjwa mkali wa kisukari hupata wapi huduma?
 
Naamini kuwa wapo wanawake waaminifu, na ambao wanaweza hasa kujinyima chochote kwa waume zao.

Mimi kwa nnavyojiona sio mmoja wa hao (inaweza ikawa tofauti likinifika), na naamini wengi ni wa kundi hili la kutoweza kustahamili (so better kudai talaka).

Napata mshangao kuona sample ya hapa JF ni almost ni yale waaminifu watupu! ....hapo tu

Hivi mwalimu unaamini kwamba pamoja na wanaume kusema kwao ukweli kwamba wanatoka nje ya ndoa wapo ambao hawatoki kabisa nje ya ndoa zao. Sasa kama kuna wanaume hawatoki nje ya ndoa zao unashindwaje kuamini kwamba kuna wanawake waaminifu, mimi inawezekana si muaminifu lakini naamini wapo waaminifu. Kila kitu ni kukiendekeza na kukipenda
 
finest kumbe unajua usifuate maneno yao fuata matendo upo...............



Nakumbuka kuna mkaka mmoja alimwambia GF wake kuwa WHAT YOU SEE IS NOT WHAT YOU GET mwanzoni akuelewa alikuja kuelewa its too late
 
Babu asprin, eti wale akina mama ambao waume zao wana ugonjwa mkali wa kisukari hupata wapi huduma?

Hahahaha...uliza kina mama hao...watakujibu wanawavumilia kwa MSAADA WA MUNGU.......wizi mtupu!
 
Back
Top Bottom