Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
Babu mimi nilishatoa mchango wangu na msimamo wangu; japokuwa na wanaJF wanasema sisi ni wanafiki na tunajifanya! Sasa sielewi wamenijuaje kama mimi ni mnafiki na najifanya malaika! mhhh!!!! Ofcos, kila mtu anaijua nafsi yake mwenyewe!
Key board na screen tu dada usichukie eeehhh