The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Aha ha ha mkuu bana sikuweziSwadakta mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha ha ha mkuu bana sikuweziSwadakta mkuu
Huyo mkoloni wako atakuwa TEENAGER.Acha 2 mkoloni kasimamia kucha.
Aha ha ha mkuu bana sikuwezi
Mkuu taratibu unajua anasoma kama guest sasa unaamsha waliolala!Kaka mbona umetoa ile
Miss U
AD
Umechoka baada ya kuona haji au?
Kama wote wazima na watu wanachepuka sembuse hili? Ukweli tunaujua hakuna wa kupinga ila tunachosema chonde chonde upande wa pili usijue! Hii ni rule number moja!Hii ni kali na ngumu kusema ukweli.
Hebu tufunge safari ya mawazoni tujifikirie wenyewe kisha tuwe wakweli.Walichofanya hawa watu wawili na hatimaye kufa ni kitu kibaya cha kisaliti ukizingatia urafiki wa kifamilia uliojengeka ukawa kama undugu.
Lakini tuchukulie ni mwanamke ame paralyse je mumewe angekuwa anajihini akisubiri kifo kiwatenganishe? Kiimani ndivyo inavyotakiwa lakini kiuhalisia katika dunia ya dhambi tuwe wakweli ni ngumu hasa kama damu bado inachemka.Wengi hapa watajitahidi kusema watavumilia hadi kifo kije lakini nasita kusema hivyo maana huwezi kujua litakalotokea mbele.
Hii ni kali na ngumu kusema ukweli.
Hebu tufunge safari ya mawazoni tujifikirie wenyewe kisha tuwe wakweli.Walichofanya hawa watu wawili na hatimaye kufa ni kitu kibaya cha kisaliti ukizingatia urafiki wa kifamilia uliojengeka ukawa kama undugu.
Lakini tuchukulie ni mwanamke ame paralyse je mumewe angekuwa anajihini akisubiri kifo kiwatenganishe? Kiimani ndivyo inavyotakiwa lakini kiuhalisia katika dunia ya dhambi tuwe wakweli ni ngumu hasa kama damu bado inachemka.Wengi hapa watajitahidi kusema watavumilia hadi kifo kije lakini nasita kusema hivyo maana huwezi kujua litakalotokea mbele.
Hii ni kali na ngumu kusema ukweli.
Hebu tufunge safari ya mawazoni tujifikirie wenyewe kisha tuwe wakweli.Walichofanya hawa watu wawili na hatimaye kufa ni kitu kibaya cha kisaliti ukizingatia urafiki wa kifamilia uliojengeka ukawa kama undugu.
Lakini tuchukulie ni mwanamke ame paralyse je mumewe angekuwa anajihini akisubiri kifo kiwatenganishe? Kiimani ndivyo inavyotakiwa lakini kiuhalisia katika dunia ya dhambi tuwe wakweli ni ngumu hasa kama damu bado inachemka.Wengi hapa watajitahidi kusema watavumilia hadi kifo kije lakini nasita kusema hivyo maana huwezi kujua litakalotokea mbele.
Mkuu taratibu unajua anasoma kama guest sasa unaamsha waliolala!
We bado damu inachemka?Hapo ndipo niliposimamia mimi. Well said dear
We bado damu inachemka?
Can we?Usinizeeshe mtoto wa mwenzio bado tena moto moto kweli
Hii ni kali na ngumu kusema ukweli.
Hebu tufunge safari ya mawazoni tujifikirie wenyewe kisha tuwe wakweli.Walichofanya hawa watu wawili na hatimaye kufa ni kitu kibaya cha kisaliti ukizingatia urafiki wa kifamilia uliojengeka ukawa kama undugu.
Lakini tuchukulie ni mwanamke ame paralyse je mumewe angekuwa anajihini akisubiri kifo kiwatenganishe? Kiimani ndivyo inavyotakiwa lakini kiuhalisia katika dunia ya dhambi tuwe wakweli ni ngumu hasa kama damu bado inachemka.Wengi hapa watajitahidi kusema watavumilia hadi kifo kije lakini nasita kusema hivyo maana huwezi kujua litakalotokea mbele.
Na nnavyomjua bora tukae kimya tusije anzishe thread kama hii ya Aspro! LolHayseeee nilikuwa sijui Komrade, asije aka:rant::rant:
We bado damu inachemka?
Usinizeeshe mtoto wa mwenzio bado tena moto moto kweli
Can we?
Komredi unaharibu ujue!!Babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
:horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
Hapo ndo unapokosea ......hiyo kitu Mungu kaishusha niipende na niihusudu. As long as sifanyi zinaa, sioni kwa nini nisiipende.
Na kwa kuogopa zinaa ndio nikasema nitaomba talaka. Na uamuzi wa kuomba talaka kwa kuwa mwanamme hawezi kukupa haki yako ya tendo la ndoa unakubalika kidini (islam) na kiserikali.