Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Eti inawezekana?...UVUMILIVU MPAKA LINI?

Heshima yako Mkuu....
Karibu basi upate .:A S-coffee: na 😛opcorn:

Heshima irudi kwako Madam KH
Ahsante kwa cofee. Sasa nimekuwa mpole ngoja nikurushie ndoano, maana KIMEY kwa kujifanya mpole na kauli tamu-tamu atanizidi . . . lol
 
Heshima irudi kwako Madam KH
Ahsante kwa cofee. Sasa nimekuwa mpole ngoja nikurushie ndoano, maana KIMEY kwa kujifanya mpole na kauli tamu-tamu atanizidi . . . lol
The Following User Says Thank You to CPU For This Useful Post:

Keren_Happuch (Today)​
 
Keren.......Kimey......:A S 13::A S 13:............:wink2::decision::hand::hand:
 
Heshima irudi kwako Madam KH
Ahsante kwa cofee. Sasa nimekuwa mpole ngoja nikurushie ndoano, maana KIMEY kwa kujifanya mpole na kauli tamu-tamu atanizidi . . . lol
Hahaha c nimekuachia Dena wanifuta mpaka huku? Komredi hebu niache kidogo nichonge na Keren!
 
Keren.......Kimey......:A S 13::A S 13:............:wink2::decision::hand::hand:

Hello my dear Michelle....karibu sana! Tupo tunavinjari kwenye sredi ya babu, lakini iko klozed tayari, sisi tunapata upepo.........LOL
 
Hello my dear Michelle....karibu sana! Tupo tunavinjari kwenye sredi ya babu, lakini iko klozed tayari, sisi tunapata upepo.........LOL

nimepita mahali nikawaona na Kimey nikasema si mbaya nikawapa hi....l.o.l,msalimie sana sitaki kuingilia starehe zenu kwa sasa....l.o.l:wink2:
 
nimepita mahali nikawaona na Kimey nikasema si mbaya nikawapa hi....l.o.l,msalimie sana sitaki kuingilia starehe zenu kwa sasa....l.o.l:wink2:

Usijali kabisa dear...salaam zako nitazifikisha...wasalimu huko..:wink2:
 
Rafiki unatutega! tunaruhusiwa kuapa? au kusema tu ndio au hapana?
 
Du! kumbe sredi closed............... nilichelewa basi la asubuhi
FP..iko klozed kwa wale waliokwisha changia, lakini kwa ambao bado wanaruhusiwa! Babu will be happy to get your comments. Unajua anakusanya data....🙂
 
FP..iko klozed kwa wale waliokwisha changia, lakini kwa ambao bado wanaruhusiwa! Babu will be happy to get your comments. Unajua anakusanya data....🙂

aaahhhhhhhhhhhh, alete hizo alizokwisha kusanya, mimi nitamsaidia kuzi-analyze.
kwanza naona babu kaja kwa style nyingine tu kwa ile ya Not Enough, anataka kupata ukweli maana NE anasema eti tunadanganya, sasa sijui anajua maisha yetu mpaka aone tunadangany!
 
Hahaha c nimekuachia Dena wanifuta mpaka huku? Komredi hebu niache kidogo nichonge na Keren!

Dena hajui kutabathamu, haya ngoja nikuachie ila ukibambwa na Babu mi simo :whistle::whistle:
 
Back
Top Bottom