Eti Iran anamshutumu Israel kwa kushinikiza machafuko zaidi utafikiri alimuomba hezbollah amchokoze. Yani unachezea moto alafu unalalamika unaangua.

Eti Iran anamshutumu Israel kwa kushinikiza machafuko zaidi utafikiri alimuomba hezbollah amchokoze. Yani unachezea moto alafu unalalamika unaangua.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Hawa radicals wa middle east ni watu wa ajabu sana. Wana sugu ya fujo fujo ndani ya mioyo yao.

Ni aina ya watu amabao wana taka uishi kutokana na misingi yao ya fujo fujo. Wakipigana na wewe hata kama unawashinda watataka ushinde wanavyotaka wao.

Unasema unapigana na Israel kuitafutia haki Palestine utafikiri watu walio chini yako wametosheka haki.

Unapigana na Israel kwa kujificha nyuma ya watu wasio na hatia, alafu wakifa unalalamika Israel inaua watoto.

STUPID RADICALS!!!
 
Hawa radicals wa middle east ni watu wa ajabu sana. Wana sugu ya fujo fujo ndani ya mioyo yao.

Ni aina ya watu amabao wana taka uishi kutokana na misingi yao ya fujo fujo. Wakipigana na wewe hata kama unawashinda watataka ushinde wanavyotaka wao.

Unasema unapigana na Israel kuitafutia haki Palestine utafikiri watu walio chini yako wametosheka haki.

Unapigana na Israel kwa kujificha nyuma ya watu wasio na hatia, alafu wakifa unalalamika Israel inaua watoto.

STUPID RADICALS!!!
WAPUUZI SANA!NDO MAANA KUNA NDUGU ZAO HUMU WAJINGA WAJINGA KAMA WAO, WANALALAMIKA!NAWAULIZA IRAN/HAMAS ET AL, WAMEMPIGA MAKOMBORA ISRAEL,MLITAKA YEYE AWAJIBU KWA KUWARUSHIA MAUA???NI LAZIMA ATAJIBU NA MAKOBORA SASA MSILALAMIKE ILIHALI MLIMCHOKOZA MWENYEWE!!!
 
Ila Duniani kuna changamoto Sana.
Halafu Waarabu Wana roho ngumu Sijapata kuona. Kwa jinsi Israel alivyoua watu na kuharibu mji wa Gaza nilitegemea Hamas wangetafuta namna ya kumaliza vita, ila ndio kwanza bado wanapambana na IDF.
Ila hii dunia hata kungelikuwa na Dini aina moja bado machafuko yangemwepo Tu.
Maana kuna binadamu wameumbwa na hulka za kugombana.
 
Hawa radicals wa middle east ni watu wa ajabu sana. Wana sugu ya fujo fujo ndani ya mioyo yao.

Ni aina ya watu amabao wana taka uishi kutokana na misingi yao ya fujo fujo. Wakipigana na wewe hata kama unawashinda watataka ushinde wanavyotaka wao.

Unasema unapigana na Israel kuitafutia haki Palestine utafikiri watu walio chini yako wametosheka haki.

Unapigana na Israel kwa kujificha nyuma ya watu wasio na hatia, alafu wakifa unalalamika Israel inaua watoto.

STUPID RADICALS!!!
Unazungumziaje na Israel kulalamika UN kwamba Iran inahusika na vurugu wanazofanya vikundi vya wanamgambo!??
Pia unazungumziaje Netanyahu kumlalamikia Iran UN kuhusu uendelezaji urutubishaji nuclear!??
Hao wanajuana waache.
 
WAPUUZI SANA!NDO MAANA KUNA NDUGU ZAO HUMU WAJINGA WAJINGA KAMA WAO, WANALALAMIKA!NAWAULIZA IRAN/HAMAS ET AL, WAMEMPIGA MAKOMBORA ISRAEL,MLITAKA YEYE AWAJIBU KWA KUWARUSHIA MAUA???NI LAZIMA ATAJIBU NA MAKOBORA SASA MSILALAMIKE ILIHALI MLIMCHOKOZA MWENYEWE!!!
Hawajielewi wapuuzi hao
 
Hawa radicals wa middle east ni watu wa ajabu sana. Wana sugu ya fujo fujo ndani ya mioyo yao.

Ni aina ya watu amabao wana taka uishi kutokana na misingi yao ya fujo fujo. Wakipigana na wewe hata kama unawashinda watataka ushinde wanavyotaka wao.

Unasema unapigana na Israel kuitafutia haki Palestine utafikiri watu walio chini yako wametosheka haki.

Unapigana na Israel kwa kujificha nyuma ya watu wasio na hatia, alafu wakifa unalalamika Israel inaua watoto.

STUPID RADICALS!!!
Hayo no maccm y a middle east
 
Hawa radicals wa middle east ni watu wa ajabu sana. Wana sugu ya fujo fujo ndani ya mioyo yao.

Ni aina ya watu amabao wana taka uishi kutokana na misingi yao ya fujo fujo. Wakipigana na wewe hata kama unawashinda watataka ushinde wanavyotaka wao.

Unasema unapigana na Israel kuitafutia haki Palestine utafikiri watu walio chini yako wametosheka haki.

Unapigana na Israel kwa kujificha nyuma ya watu wasio na hatia, alafu wakifa unalalamika Israel inaua watoto.

STUPID RADICALS!!!
Kweli kabisa.
 
Back
Top Bottom