ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Yule kilaza,mchafukoge,mkopiaji wa darasani kwenu anapokuwa bosi ofisini kwako,na wewe ndo ulikuwa kipanga hatari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We edit tu mkuu,hamna mbaya kabisa.Unaruhusiwa kuedit thread
Kumaanisha kazi hamfanyi au rostok tu! Duuh! Hatari.Mbaya zaidi kilaza huyo (Bashite) anawaambia live kabisa "yaani kama kuna watu wasiotakiwa kulipwa mshahara ni nyie, na kama ningekua Rais ninge wacharaza viboko kabisa".
Edit hapo au hujao umeandika katika mpangilio mzuriWe edit tu mkuu,hamna mbaya kabisa.
Sijao!!!!?Edit hapo au hujao umeandika katika mpangilio mzuri
Typing errorSijao!!!!?
Aisee kumbe unaakili eeh! Huwa sijaribiwi.(nakutania tu)the same applies to me.Typing error
Ujao=ujaona
Basi hamna tatizoAisee kumbe unaakili eeh! Huwa sijaribiwi.(nakutania tu)the same applies to me.
How old are u nigga?Yule kilaza,mchafukoge,mkopiaji wa darasani kwenu anapokuwa bosi ofisini kwako,na wewe ndo ulikuwa kipanga hatari.
Natosha kuwa baba yako,kwani vipi?How old are u nigga?