Eti jamani utajisikiaje kama ni wewe?

Eti jamani utajisikiaje kama ni wewe?

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Yule kilaza,mchafukoge,mkopiaji wa darasani kwenu anapokuwa bosi ofisini kwako,na wewe ndo ulikuwa kipanga hatari.
 
Sijaelewa Uzi wako unamaanisha nn
 
Maisha hayana formula. Kigezo cha mtu kufanikiwa si elimu tu. Lakini bila elimu utatumia nguvu nyingi kutoka. Nampa tu heshima yake inavyomstahili
 
Mkuu hii tunaita LIFE CYCLE yan mlimburuza shuleni na yeye NOW anawaburuza kazini.Life is always fair
 
Mbaya zaidi kilaza huyo (Bashite) anawaambia live kabisa "yaani kama kuna watu wasiotakiwa kulipwa mshahara ni nyie, na kama ningekua Rais ninge wacharaza viboko kabisa".
 
Mbaya zaidi kilaza huyo (Bashite) anawaambia live kabisa "yaani kama kuna watu wasiotakiwa kulipwa mshahara ni nyie, na kama ningekua Rais ninge wacharaza viboko kabisa".
Kumaanisha kazi hamfanyi au rostok tu! Duuh! Hatari.
 
Back
Top Bottom