Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,952
...wa kidato cha nne watatakiwa kufanya mtihani wa computer! Nimesikia sasa hivi (saa mbili usiku) taarifa ya habari Radio One.
My take:
Ukitilia maanani ni chini ya 10% ya Watanzania wenye access ya umeme, ni shule ngapi kati ya zilizopo ambazo wanafunzi wake watafundishwa?
Ni waalimu wangapi wa sekondari wana uwezo wa kutumia computer achilia mbali kuweza kufundisha? Lini mitaala imetayarishwa, computer zimenunuliwa lini?
Serikali hii haishi kunishangaza, unapodhani wamefikia kiwango cha chini kabisa (even by their own pathetic standard ) cha kukosea wanaweka standard ya chini zaidi ya mtu wa kawaida anavyoweza kufikiri!
My take:
Ukitilia maanani ni chini ya 10% ya Watanzania wenye access ya umeme, ni shule ngapi kati ya zilizopo ambazo wanafunzi wake watafundishwa?
Ni waalimu wangapi wa sekondari wana uwezo wa kutumia computer achilia mbali kuweza kufundisha? Lini mitaala imetayarishwa, computer zimenunuliwa lini?
Serikali hii haishi kunishangaza, unapodhani wamefikia kiwango cha chini kabisa (even by their own pathetic standard ) cha kukosea wanaweka standard ya chini zaidi ya mtu wa kawaida anavyoweza kufikiri!