Eti Kwa hii picha na hizo logo huyu ni mchezaji gani?

Aliye mtesa sana Oliver Khan wold cup....ilikuwa inapigwa michomoko inagonga mwamba Rivardo amaliza shughuli wa kuitwa Ronardo de lima
View attachment 2814806
Mdau wa michezo hasa soka, unadhani Mchezaji huyu aliyecheza katika klabu husika zilizotajwa kwa Mfumo wa Nembo anaitwa nani?
Ronaldo

1993–1994
Cruzeiro34(34)
1994–1996PSV46(42)
1996–1997Barcelona37(34)
1997–2002Inter Milan68(49)
2002–2007Real Madrid127(83)
2007–2008AC Milan20(9)
2009–2011Corinthians52(29)
Total384(280
 
Watu mnapenda mpira kiasi kwamba hata Ushuzi wa Zidane mkusikia mnajua huu mzgo wa zinedine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…