Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Muangalie Kanumba halafu fanya maamuzi.Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela. Za chapu chapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya??
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani
Eti eh! Sasa nifanyaje??Freemason wenyewe wanataman mahela hayo
Kanumba alijitoa yeye mie nawa5oa watesi wanguMuangalie Kanumba alafu fanya maamuzi.
Sitaki utani bhana nipo seriousmkamateni jamani ajapona vizuri
Eh? Tena??Mambo sio rahisi hivyo
Ila siatleast na kitu sieti??Hatua nzuri tu...lakini pesa huwa hazitoshi sikuzote mkuu
Hairuhusiwi kumtoa usiyemfahamu ukivunja sheria, eidha uwatoe wazazi wako au ndugu zako wa damu, au watoto wako au uamue wakuue.Kanumba alijitoa yeye mie nawa5oa watesi wangu
Ndio nan kakushauri?Eh? Tena??
Ni kweliIla siatleast nakitu sieti??
Hakuna ndio maana nikaleta mada hapaNdio nan kakushauri?
Sijui SasaFreemason ni welevu au ujinga wako!