Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sio rahisi hvyoHakuna ndio maana nikaleta mada hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio rahisi hvyoHakuna ndio maana nikaleta mada hapa
Njoo PM nikupe ABC zao .. utachagua mwenyewe sasaEti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
True au utani??Njoo PM nikupe ABC zao .. utachagua mwenyewe sasa
true 💯 uje ukiwa serious piaTrue au utani??
Huyu mzima na akili zake timamu. Akitaka ku trend anakuja na nyuzi za ajabu ajabu ili mumuongelee. Comment nyingine za kumuita punguani ni zake mwenyewe kwa kutumia ID mbadala.mkamateni jamani ajapona vizuri
Leejay49 🤗🤗jaman Wizo sa itakuaje ndio tumefika apa🤣🤣🤣👋nilijua tu kama hii hali inakoelekea sio kuzuri,,, Lovie Lady njoo kwanza na huku
Leejay49 jahazi linaangamia wizo 🤣🤣👋t
tusubiri tu tuone jinsi itakavyokua,,hatuna namna🤷♀️🤷♀️
Nipo serious aiseeUnique Flower umeamua kutuvunja mbavu eeh🤣🤣👋
Leejay49 sa mbona tunakuhitaji bado🤣👋Nipo serious aisee
Mkuu uwe serious tu watakuinua ukiwa unatania wanajua, nenda Facebook andika Freemasonry OrganizationEti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
umewaza nini bestie najiuliza sipati majibu,,,ila Unique Flower wewe ni kiboko dah😂😂😂Nipo serious aisee
NAKAZIASio rahisi hvyo