Eti kwa umri huu ni mbaya kuwa Freemanson?

Eti kwa umri huu ni mbaya kuwa Freemanson?

Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.

Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?

Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
Yaani kwa hivi ulivyoandika tu hufai kuwa freemasonic ! unaropoka sana freemasonic wanataka watu wenye kaliba ya USIRI NA UJASIRI.
 
Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.

Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?

Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
 
Hii ndio Nini?? Acha kunisingizia ujinga kama huo kama kaka zako ndio wanatongozana Basi ni wao ,kitu serious kama hiki usinizushie mpuuzi kama wewe Tena usinizoee kama ulivyozoea hao mashoga wenzako unikome Tena usinizoee takataka
 
Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.

Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?

Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
Kitu usichokijua ni kwamba Freemasons hairuhusu wanawake kujiunga, freemason ni maalumu kwa waname tu.
 
Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.

Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?

Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
Freemasons watu wanaingia kifamilia na kujuana kwa karibu na watu waliokuwa humo freemasons, sio mtu tu huna connection yoyote,

Yani lazima kwenye ukoo wenu kuwe tayari kuna freemasons ama basi angalau kuwe na mtu freemasons ambaye amependezwa sana na sifa zako nzuri kijamii, maana kuwa freemasons lazima uwe na sifa nzuri kijamii, sio mtu tu wewe huja fanikiwa lolote uingie freemasons ukaitie doa
 
Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.

Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?

Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.
pata hela za chapuchapu, nunua magari chapuchapu,jenga chapuchapu alafu ukufe chapuchapu.alafu uache ndugu zako wakigombania mali chapuchapu.
Unawahi wapi?🤔
Utapata hela zote alafu unakufa unaziacha.Ili nini?
Ya nini kujitesa ilhali unaviacha vyote hapa wakati kuna njia halali za kujipatia pesa na maisha yakawa yanaenda tu?.
Fikiria tena.
 
Huyu mzima na akili zake timamu. Akitaka ku trend anakuja na nyuzi za ajabu ajabu ili mumuongelee. Comment nyingine za kumuita punguani ni zake mwenyewe kwa kutumia ID mbadala.

Hamu yake ya attention ikiisha anakuja kivingine kama dume linalobishana kuhusu mpira na kubaniwa mbupu kwa ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu jaman khaaah
 
Eti Kwa umri nilionao si sahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi, mie nipo 30 something.

Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari, nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kuna ubaya?

Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie, nishaurini jamani.
Umeacha kudanga?
 
Back
Top Bottom