Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 964
- 2,675
Yaani kwa hivi ulivyoandika tu hufai kuwa freemasonic ! unaropoka sana freemasonic wanataka watu wenye kaliba ya USIRI NA UJASIRI.Eti Kwa umri nilionao sisahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari , nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu nimeona watesi wangu ndio wawe vitwana kunaubaya?
Niolewe nipate watoto kiasi ila hawausiki na maagano yangu mie kama mie nishaurini jamani.