Eti kwa umri huu ni mbaya kuwa Freemanson?

Eti kwa umri huu ni mbaya kuwa Freemanson?

Utasikia haya sasa tuletee Mama yako fanya hivyo au tukuchukue wewe mwenyewe Mama yako abaki chagua kimoja, 😆
Nataka. Ile ya kutoa wanaume zangu hii imekaa poa wanyuma na wapenzi wa Sasa nawatoa wote tu sijali
 
Jamani kama Kuna mtu ambaye anajua mganga au mafrenmason wanakubali mie niwatoe wafuatavyoo, andika NI PM Kwa herufi kubwa Sina ulaghai .
1.wachawi wote waliozima riziki zangu
2. Watesi wangu
3. Wanaume waliowahi kudate na Mimi wakaniacha na wengine nitakao kuwa nao ila sio mwanaume atakayenioa .

4. Ndugu zangu wa mbali kama watoto wa wajomba , shangazi , na wamama wadogo .
 
Jamani kama Kuna mtu ambaye anajua mganga au mafrenmason wanakubali mie niwatoe wafuatavyoo, andika NI PM Kwa herufi kubwa Sina ulaghai .
1.wachawi wote waliozima riziki zangu
2. Watesi wangu
3. Wanaume waliowahi kudate na Mimi wakaniacha na wengine nitakao kuwa nao ila sio mwanaume atakayenioa .

4. Ndugu zangu wa mbali kama watoto wa wajomba , shangazi , na wamama wadogo .
🤣🤣👋
Leejay49 Wizo uhali gan?
 
Back
Top Bottom