Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Shaka ondoa my wanguUnstue na mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shaka ondoa my wanguUnstue na mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si mbaya nikamiliki ka mansion kangu pembeni ya bahari😂😂Hautaki kuchezea fursa
Sio mbaya kwakweli 😂😂😂Si mbaya nikamiliki ka mansion kangu pembeni ya bahari
Nani amekuambia anadanga Tz hakuna wanaume kunamashoga tu nawashirikinaUmeacha kudanga?
Sasa tufanyaje??nishauri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi mbavu zinauma, ila wee da maua Una nm lakini??? Khaaah
Nilipie basiLipia tangazo
Tu elezeeMkija mkaijua Freemasonry..
Poa mkuu ngoja nipate time.Tu elezee
SawaPoa mkuu ngoja nipate time.
Utasikia haya sasa tuletee Mama yako fanya hivyo au tukuchukue wewe mwenyewe Mama yako abaki chagua kimoja, 😆Kanumba alijitoa yeye mie nawa5oa watesi wangu
Njoo PM nikupe ABC zao .. utachagua mwenyewe sasa
Hapo hapo pale juu umesema unataka watoto 😆Nani amekuambia anadanga Tz hakuna wanaume kunamashoga tu nawashirikina
Nataka. Ile ya kutoa wanaume zangu hii imekaa poa wanyuma na wapenzi wa Sasa nawatoa wote tu sijaliUtasikia haya sasa tuletee Mama yako fanya hivyo au tukuchukue wewe mwenyewe Mama yako abaki chagua kimoja, 😆
🤣🤣👋Jamani kama Kuna mtu ambaye anajua mganga au mafrenmason wanakubali mie niwatoe wafuatavyoo, andika NI PM Kwa herufi kubwa Sina ulaghai .
1.wachawi wote waliozima riziki zangu
2. Watesi wangu
3. Wanaume waliowahi kudate na Mimi wakaniacha na wengine nitakao kuwa nao ila sio mwanaume atakayenioa .
4. Ndugu zangu wa mbali kama watoto wa wajomba , shangazi , na wamama wadogo .