The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Hakuna cha mzuqa,
Utakuta ni warembo tu with a fat gene lakini wanajikongoroa miili yao kwa kutokula ama kushinda na apple na maji ili wamaintain kukongoroka wenyewe wakidhani ni warembo kumbe wala.
Ebu angalia chini
Mke wa Prince william eti hapo ni mrembo kamoooonn u guys tell her to eat. Cha kuchekesha eti anatakiwa awe hivyo awe examples to the girls
Eti wanavyodai ni miongoni mwa wanawake warembo duniani miguu utadhan ya kwaree. George ambia huyo mke wako hale chakula na aache kushinda njaa.
Mwengine hapa chini angelina jolie. Sasa hizo hela nyingi unazo za nini? Kama huli? Kamoonnn
Halafu ndio hawahawa wanawajaza mabinti zetu dhana na imani kuwa hivyo ndio urembo.
Dada wa taifa naye kawaiga.
Utakuta ni warembo tu with a fat gene lakini wanajikongoroa miili yao kwa kutokula ama kushinda na apple na maji ili wamaintain kukongoroka wenyewe wakidhani ni warembo kumbe wala.
Ebu angalia chini
Mke wa Prince william eti hapo ni mrembo kamoooonn u guys tell her to eat. Cha kuchekesha eti anatakiwa awe hivyo awe examples to the girls
Eti wanavyodai ni miongoni mwa wanawake warembo duniani miguu utadhan ya kwaree. George ambia huyo mke wako hale chakula na aache kushinda njaa.
Mwengine hapa chini angelina jolie. Sasa hizo hela nyingi unazo za nini? Kama huli? Kamoonnn
Halafu ndio hawahawa wanawajaza mabinti zetu dhana na imani kuwa hivyo ndio urembo.
Dada wa taifa naye kawaiga.