Eti kwa wazungu wanawake kama hawa ndio warembo

Eti kwa wazungu wanawake kama hawa ndio warembo

Castr naijua hiyo casino kuna bosi mmoja kijana mrusia akamuoa mdada wa hapo alikuwa mwemwbamba wa kawaida lakini siku hizi anavisoap dish angelina jolie anasubiri, kiukweli hajapendeza.

Mambo yapo huku bwana kwenye manyamanyama hakuna kukutana na mifupa.
Bones are for dogs[emoji3]mi umbaumbau siutakagi na nikianza kukonda tu hua najitahidi nirudishe kamwili japo sio mnene sana
 
Kuna Casino moja ilianzishwa mwaka fulani na waRusi mimi nilikua mlinzi pale. Sasa mabinti wa ile casino walikua slim na ukinenepa kazi huna.

Binti mmoja akaniambia hao waRusi wanatafsiri wembamba ni sign ya afya njema na utajiri kwakua ukiwa maskini ndiyo utashindilia maandazi ya bakhresa na Fursana na hela ya kwenda gym hauna.
😀😀😀😀 Ila wewe. tehe tehe tehe. Utakuwa ni bausa wee Castr
 
Kuna Casino moja ilianzishwa mwaka fulani na waRusi mimi nilikua mlinzi pale. Sasa mabinti wa ile casino walikua slim na ukinenepa kazi huna.

Binti mmoja akaniambia hao waRusi wanatafsiri wembamba ni sign ya afya njema na utajiri kwakua ukiwa maskini ndiyo utashindilia maandazi ya bakhresa na Fursana na hela ya kwenda gym hauna.
Haha ila we mdau unajuaga kunivunja mbavu
 
hahahaahahaahaha again stefano..my ribs... mm nikinenepaga sana nikianza kuruka kamba mume anaichukua ananipokonya kbs anairusha batini[emoji52].jaman wabongo mnapenda nyama nyama[emoji849][emoji57]..
kabisa, ndo zafaa
 
1542631492984.png
DA AISEE WATU WANAFAUDUUU
 
Back
Top Bottom