Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Kila sehemu na culture yake, kwa Africa kibonge ndio anatamba kwa wazungu Kimbau mbau ndio anatamba..... i prefer a English figure tho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bones are for dogs[emoji3]mi umbaumbau siutakagi na nikianza kukonda tu hua najitahidi nirudishe kamwili japo sio mnene sanaCastr naijua hiyo casino kuna bosi mmoja kijana mrusia akamuoa mdada wa hapo alikuwa mwemwbamba wa kawaida lakini siku hizi anavisoap dish angelina jolie anasubiri, kiukweli hajapendeza.
Mambo yapo huku bwana kwenye manyamanyama hakuna kukutana na mifupa.
😀😀😀😀 Ila wewe. tehe tehe tehe. Utakuwa ni bausa wee CastrKuna Casino moja ilianzishwa mwaka fulani na waRusi mimi nilikua mlinzi pale. Sasa mabinti wa ile casino walikua slim na ukinenepa kazi huna.
Binti mmoja akaniambia hao waRusi wanatafsiri wembamba ni sign ya afya njema na utajiri kwakua ukiwa maskini ndiyo utashindilia maandazi ya bakhresa na Fursana na hela ya kwenda gym hauna.
Hao ndio mamiss weld wanatakiwa[emoji23][emoji23]
Haha ila we mdau unajuaga kunivunja mbavuKuna Casino moja ilianzishwa mwaka fulani na waRusi mimi nilikua mlinzi pale. Sasa mabinti wa ile casino walikua slim na ukinenepa kazi huna.
Binti mmoja akaniambia hao waRusi wanatafsiri wembamba ni sign ya afya njema na utajiri kwakua ukiwa maskini ndiyo utashindilia maandazi ya bakhresa na Fursana na hela ya kwenda gym hauna.
kabisa, ndo zafaahahahaahahaahaha again stefano..my ribs... mm nikinenepaga sana nikianza kuruka kamba mume anaichukua ananipokonya kbs anairusha batini[emoji52].jaman wabongo mnapenda nyama nyama[emoji849][emoji57]..
Nimetepeta tu siku hizi sina lolote.
Huyu naniUtadhani vitoto vidogo hata wakae uchi hamna boxer kubana
Kiti hii hapaView attachment 938938View attachment 938939
Flexible & presentableKila sehemu na culture yake, kwa Africa kibonge ndio anatamba kwa wazungu Kimbau mbau ndio anatamba..... i prefer a English figure tho.
MamamamamamaaaaeeeeeeeeUtadhani vitoto vidogo hata wakae uchi hamna boxer kubana
Kiti hii hapaView attachment 938938View attachment 938939
hahahaahahaahaha again stefano..my ribs... mm nikinenepaga sana nikianza kuruka kamba mume anaichukua ananipokonya kbs anairusha batini[emoji52].jaman wabongo mnapenda nyama nyama[emoji849][emoji57]..
Kwa niaba ya i maplus size, matukunyema, mavolvo tunawapa pole sana hao vimbaombao