Eti kwa wazungu wanawake kama hawa ndio warembo

Bones are for dogs[emoji3]mi umbaumbau siutakagi na nikianza kukonda tu hua najitahidi nirudishe kamwili japo sio mnene sana
 
😀😀😀😀 Ila wewe. tehe tehe tehe. Utakuwa ni bausa wee Castr
 
Haha ila we mdau unajuaga kunivunja mbavu
 
hahahaahahaahaha again stefano..my ribs... mm nikinenepaga sana nikianza kuruka kamba mume anaichukua ananipokonya kbs anairusha batini[emoji52].jaman wabongo mnapenda nyama nyama[emoji849][emoji57]..
kabisa, ndo zafaa
 
Hahahha mzee unaonyesha we ni mpenzi wa mafuta mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…