Eti Kwani kuoa ni lazima?

Eti Kwani kuoa ni lazima?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hawa dada zetu naona sijui wamepatwa na Nini ukimpa tu namba yako , anafanya Kazi ya kukuchunguza Kama umeoa au hapana.

Mimi imani yangu inanambia nabidi kusaidia wazazi wangu , masikini, na Yatima tu .

Huu mradi wa Ndoa upo kiupigaji Sana . Bora nisaidie wahitaji kwanza, endapo nipokea wito ntaoa lakini sio kwa kumuonea Mtu Huruma aliyeshindwa kujitunza.

NB tuendelee kutunza Ushuhuda Uzinzi haufi na ni uchafu
 
Mimi nikigonga 50 ndo nataka kuoa hapa Nina 26 bado 24 hila nachopata nawasapoti wazazi Sana Na-enjoy Sana endapo nikiishi miaka 90 Kuna Huwezo wa kuwaona Hadi wajukuu kuoa Mapema huwezi kuacha Legacy

nyumbani washamaliza kupika chakula maana utakuwa unanjaa.
baba yako bora angeacha mbegu zake kiunoni
 
Shetani kupitia "New World Order" aahitaji watu wapungue ili iwe rahisi kusimika utawala wake kamili. Na njia anazotumia kupunguza idadi ya watu ni kupitia magonjwa(pandemic), Vita, kampeni za ushoga, uzazi wa mpango na kampeni za usawa wa kijinsia ambapo kupitia hiyo Mtoto wa kiume hudunishwa; na kampeni za kukataa kuoa
 
Shetani anafahamu kuwa watu wakizaliwa kwa kasi watazaliwa watumishi wa Mungu hivyo atapata upinzani katika agenda yake ya "New World Order"
 
Hawa dada zetu naona sijui wamepatwa na Nini ukimpa tu namba yako , anafanya Kazi ya kukuchunguza Kama umeoa au hapana.

Mimi imani yangu inanambia nabidi kusaidia wazazi wangu , masikini, na Yatima tu .

Huu mradi wa Ndoa upo kiupigaji Sana . Bora nisaidie wahitaji kwanza, endapo nipokea wito ntaoa lakini sio kwa kumuonea Mtu Huruma aliyeshindwa kujitunza.

NB tuendelee kutunza Ushuhuda Uzinzi haufi na ni uchafu
Tunachokijua:[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Shetani kupitia "New World Order" aahitaji watu wapungue ili iwe rahisi kusimika utawala wake kamili. Na njia anazotumia kupunguza idadi ya watu ni kupitia magonjwa(pandemic), Vita, kampeni za ushoga, uzazi wa mpango na kampeni za usawa wa kijinsia ambapo kupitia hiyo Mtoto wa kiume hudunishwa; na kampeni za kukataa kuoa
Na kuyapa kipaumbele matatizo ya ndoa na mahusiano kuijumla ili vijana waogope lakini mzee kikwete juzi kwenye birthday yake wakati anahojiwa alisema matatizo ya ndoa yapo toka zamani sema utandawazi ndo unafanya yaonekane mengi kipindi hichi na hao jamaa wa new world order wanasema Africa imeanza kampeni yake mwaka 2000 na wanahitaji miaka 100 kufanikisha agenda yao mpaka sasa wako beyond the project kwa hiyo miaka 100 inaweza isifike dunia ikawa wameshaitawala.
 
Acheni kuwa na fikra finyu, kufata mikumbo, kuwa wabinafsi na wachoyo

Ndoa ni kuharalisha njia kuu ya kuendeleza kizazi, kama hao wazazi unaosema unawasaidia wangekuwa na mawazo kama yako wewe leo usingekuwepo na hao yatima kama wazazi wao wangekuwa na mawazo kama yako leo wasingekuwepo

Unajiambia utaoa ukiwa na miaka 50?, Well Bora usioe kabisa maaana utazaa watoto baada ya miaka isiyozid kumi utakufa utaacha yatima uku nyuma

Mimi sijui haya mambo mnayoteleaga wapi, mbona watu wote ambao wana akili kiwango cha wakuwaita ma-genius wanafamilia zao na wanaishi vizuri tu.

Oa mzee, oa unless umepandwa na mashetani bila wewe mwenyew kuwa aware

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kuyapa kipaumbele matatizo ya ndoa na mahusiano kuijumla ili vijana waogope lakini mzee kikwete juzi kwenye birthday yake wakati anahojiwa alisema matatizo ya ndoa yapo toka zamani sema utandawazi ndo unafanya yaonekane mengi kipindi hichi na hao jamaa wa new world order wanasema Africa imeanza kampeni yake mwaka 2000 na wanahitaji miaka 100 kufanikisha agenda yao mpaka sasa wako beyond the project kwa hiyo miaka 100 inaweza isifike dunia ikawa wameshaitawala.
Ahsante kwa kukubaliana na Mimi🙏🏼🧢
 
Kuoa ni upuuzi mtupu trust me..nilioa nikaona napoteza muda nikapita hivi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hawa dada zetu naona sijui wamepatwa na Nini ukimpa tu namba yako , anafanya Kazi ya kukuchunguza Kama umeoa au hapana.

Mimi imani yangu inanambia nabidi kusaidia wazazi wangu , masikini, na Yatima tu .

Huu mradi wa Ndoa upo kiupigaji Sana . Bora nisaidie wahitaji kwanza, endapo nipokea wito ntaoa lakini sio kwa kumuonea Mtu Huruma aliyeshindwa kujitunza.

NB tuendelee kutunza Ushuhuda Uzinzi haufi na ni uchafu
😂😂😂😂
 
Kuoa ni Jambo la kheri, siyo kosa lenu kuikataa ndoa tatizo mlikutana na watu ambao siyo sahihi,
Kuishi mke na mme pamoja na watoto ni asili yetu,

Mimi nitaoa tu, naomba mwenyezi MUNGU anipe mtu sahihi.
 
Mimi nikigonga 50 ndo nataka kuoa hapa Nina 26 bado 24 hila nachopata nawasapoti wazazi Sana Na-enjoy Sana endapo nikiishi miaka 90 Kuna Huwezo wa kuwaona Hadi wajukuu kuoa Mapema huwezi kuacha Legacy
Mtoto wako naye akioa na miaka 50 hao wajukuu utawaona kaburini au?
 
Mimi nikigonga 50 ndo nataka kuoa hapa Nina 26 bado 24 hila nachopata nawasapoti wazazi Sana Na-enjoy Sana endapo nikiishi miaka 90 Kuna Huwezo wa kuwaona Hadi wajukuu kuoa Mapema huwezi kuacha Legacy
Subiria wazazi waanze kukupressurize kuhusu ndoa.

Kama sio pressure ya familia,vijana wengi sana wasingeoa.
 
Back
Top Bottom