Eti Mabaharia ambao huwa mnafeli kupata namba za Warembo huwa Mnafeli wapi?

Eti Mabaharia ambao huwa mnafeli kupata namba za Warembo huwa Mnafeli wapi?

Mwanamke hatoi namba km hana sababu (kuu, kama hajakuelewa) na ndio maana baada ya namba,, ukikaza kidogo unakula pissi.
Mkuu Kula 🤛🤛🤛

Ngoja kabla sijaondoka nitest zari kama nitapata namba na Mimi hapa
 
1669645424989.jpg
 
Je leo umevaa Nkaito ?

Juu umevaa kofia gani
Pama au kapelo?

Mademu wa kizungu wanaelewa Sana
Culture
 
Je leo umevaa Nkaito ?

Juu umevaa kofia gani
Pama au kapelo?

Mademu wa kizungu wanaelewa Sana
Culture
Hahaha Mimi na kofia yoyote mbali mbali mkuu,hapo kama ni hivyo nitawakosa Mzee .

Nimekula sandal, suruali na t shirt mkuu

Halafu ujue wazungu wanawapenda sana wamasai,Ila kuna wamasai hapa naona wametulia Tu hawana shobo nao
 
Jana jumatatu, upo beach...okay inawezekana umejiajiri au shift yako ipo free lakini zingatia usalama wako...ukisoma vitabu vya James Hardley Chase sehemu ambazo wahalifu huzitumia sana ni beaches hasa zile Bath cabins. Sasa jumatatu watu wachache hapo Coco beach take care!
 
Kweli kabisa mkuu

Ila wakali WA hayo mambo huwa Wana Muda wa kila kitu
Binafsi huwa nasahau hata majina.. Maana niko busy sana mda wa kuanza kufukuzia demu week nzima sinaga.. Zamani niliweza nashangaa sikuhizi huwa nawapuuza tuu
 
Hi
Ahh.. Tatizo unaweza pewa Namba na huo mda wa kufatilia ukakosa [emoji23][emoji23]
Hiki Kitu ndio napitia kipindi hiki
Kupata namba imekuwa rahisi hadi nashangaa ila muda wa kufukizia sijui siku ngapi sijui wiki sina kabisa naishia kuzifuta tu
 
Hi

Hiki Kitu ndio napitia kipindi hiki
Kupata namba imekuwa rahisi hadi nashangaa ila muda wa kufukizia sijui siku ngapi sijui wiki sina kabisa naishia kuzifuta tu
Kufuatilia demu nayo ni process nyingine wakuu.

Inahitaji mda
 
Binafsi huwa nasahau hata majina.. Maana niko busy sana mda wa kuanza kufukuzia demu week nzima sinaga.. Zamani niliweza nashangaa sikuhizi huwa nawapuuza tuu
Na ukiweza kuwapuuza unakuwa sehemu salama zaidi
 
Back
Top Bottom