Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #21
Bilashaka madam,si unajua tena watu wa vocal na swaga zaoHuyo mwamba mwenye gitaa huwa ana sauti nzuri sana sana!🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bilashaka madam,si unajua tena watu wa vocal na swaga zaoHuyo mwamba mwenye gitaa huwa ana sauti nzuri sana sana!🥰
Mkuu Kula 🤛🤛🤛Mwanamke hatoi namba km hana sababu (kuu, kama hajakuelewa) na ndio maana baada ya namba,, ukikaza kidogo unakula pissi.
Ila we mzee ni wa mjini sana 😅😅Hapana ni Wavuvi Kempu hapa Bariadi
Ogopa sana Mzee wa miaka 61 ambaye anatafuta mchumba kanisaniIla we mzee ni wa mjini sana 😅😅
Hahaha Mimi na kofia yoyote mbali mbali mkuu,hapo kama ni hivyo nitawakosa Mzee .Je leo umevaa Nkaito ?
Juu umevaa kofia gani
Pama au kapelo?
Mademu wa kizungu wanaelewa Sana
Culture
Hili ndio jibu sasa.Kuchukua namba kwa pisi ni ngumu sana na pia ni rahisi sana. Inategemeana na pisi yenyewe
🤜🤜🤜Mkuu Kula 🤛🤛🤛
Ngoja kabla sijaondoka nitest zari kama nitapata namba na Mimi hapa
Binafsi huwa nasahau hata majina.. Maana niko busy sana mda wa kuanza kufukuzia demu week nzima sinaga.. Zamani niliweza nashangaa sikuhizi huwa nawapuuza tuuKweli kabisa mkuu
Ila wakali WA hayo mambo huwa Wana Muda wa kila kitu
Hiki Kitu ndio napitia kipindi hikiAhh.. Tatizo unaweza pewa Namba na huo mda wa kufatilia ukakosa [emoji23][emoji23]
Kufuatilia demu nayo ni process nyingine wakuu.Hi
Hiki Kitu ndio napitia kipindi hiki
Kupata namba imekuwa rahisi hadi nashangaa ila muda wa kufukizia sijui siku ngapi sijui wiki sina kabisa naishia kuzifuta tu
Na ukiweza kuwapuuza unakuwa sehemu salama zaidiBinafsi huwa nasahau hata majina.. Maana niko busy sana mda wa kuanza kufukuzia demu week nzima sinaga.. Zamani niliweza nashangaa sikuhizi huwa nawapuuza tuu
Haswaa ,atakuwa mpelelezi wa Cuba ,[emoji3]Uzi umeandikwa kitaalamu, Pongezi mwa mleta mada[emoji119][emoji119]