My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
We fanya uitoe heshima ulokua unampa bila yeye kujua km unamuheshimu,afu muache ye awe yeyeMshana Jr unaheshimika sana ila la kumponda Dkt Magufuli unaonekana lijinga sana. Bora kama una chuki binafsi acha ku comment ili ulinde heshima yako.
Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dealy kwa kukurupuka kwake Magufuli!
Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dealy kwa kukurupuka kwake Magufuli!
Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
Sukuma gang wanatia huruma sana wale wajinga wangekua na uchungu wangezikwa naePropaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dealy kwa kukurupuka kwake Magufuli!
Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
😂😂🤗 Sio chuki binafsi,mbona mabaya ya kikwete,mkapa tumeyajadili sana miaka yote . Hata Nyerere amekosolewa sana tu hapa JF ,kwanini Magufuli awe exception kwenye kujadili mapungufu ya utawala wake?Nadhani unachuki binafsi hata kama nikikuelewesha huwezi elewa. Mnajifanya kuwa eti mnamsema vibaya Dkt Magufuli kwa mabaya mnasahau hata Dkt Kikwete enzi zake aliruhusu mwandishi wa habri kuuawa mchana kabis na mfano pia Dkt Ulimboka mpaka leo ni chizi chizi baada ya kipigo ila akili zenu eti mnataka kumkomoa mtu ambaye ni mzalendo na alishafariki. Poleni sana kwa kuendelea kumfanya ajenda ya mazuri
Harakati za kumchafua JPM zimepitwa na wakati😂Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dealy kwa kukurupuka kwake Magufuli!
Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
hapa unaonesha uwezo mdogo wa kufikiri wa watu kama nyinyi. To enlighten you, use the following faculties when making analysis of issues!Ni akili kubwa pekee,
Big no, Dkt Magufuli imezidi, yaani lengo lenu ni la kishetani. Tunakemea huu ujinga ili usijirudie kwa rais wetu Dkt Samia maana watu ka ninyi ni vigeu geu hamchelewi kigeuka na kumgeuka.😂😂🤗 Sio chuki binafsi,mbona mabaya ya kikwete,mkapa tumeyajadili sana miaka yote . Hata Nyerere amekosolewa sana tu hapa JF ,kwanini Magufuli awe exception kwenye kujadili mapungufu ya utawala wake?
Alikopa ngapi na huyu mama yenu kakopa ngapi?Sana sana we are paying dealy kwa kukurupuka kwake Magufuli!Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark,[emoji419][emoji375]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu umegonga maswali konki sanaLets assume tumekubali alikopa mpaka tukawa kwenye Red mark,
1. Je matokeo ya mikopo ya Red Mark yalionekana au hayakuonekana?
2. Km tulikua kwenye Red Mark, Je tumewezaje kuendelea kukopesheka?
3. Now tunakopa kuliko alivyokopa yeye, Je now tupo kwenye Mark ya rangi gani?
4. Je matokeo ya Mikopo ya sasa ya above Red mark inaonekana?
Hivi kumbe wewe haujui kama Magu alishinda vita ya COVID-19?Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dearly kwa kukurupuka kwake Magufuli!
Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
Matendo ya Samia ndiyo yataamua jinsi watanzania watakavyo mkumbuka, usiogope mkuu .Big no, Dkt Magufuli imezidi, yaani lengo lenu ni la kishetani. Tunakemea huu ujinga ili usijirudie kwa rais wetu Dkt Samia maana watu ka ninyi ni vigeu geu hamchelewi kigeuka na kumgeuka.
Hivi kumbe wewe haujui kama Magu alishinda vita ya COVID-19?
sawaVyeti feki kila mkikumbuka ajira mlitumbuliwa na Magufuli roho zinawauma mnakurupuka kuanzisha uzi wa kumkejeli na kumzihaki
Aya za shetani. I am the state.alipeleka kila kitu kwao bila kufuata sheria wala ushauri wa yyteHarakati za kumchafua JPM zimepitwa na wakati😂
Ushupavu upi? Did they kill fellow citizens?all those countries which developed viongozi wao walikuwa shupavu,
Inashangaza sana😂😂🤗 Sio chuki binafsi,mbona mabaya ya kikwete,mkapa tumeyajadili sana miaka yote . Hata Nyerere amekosolewa sana tu hapa JF ,kwanini Magufuli awe exception kwenye kujadili mapungufu ya utawala wake?
Unajisumbua tu.Aya za shetani. I am the state.alipeleka kila kitu kwao bila kufuata sheria wala ushauri wa yyte