Eti Magufuli alipigana vita na mabeberu, vita ya uchumi, ni vita gani alishinda dhidi ya Western Impelialism?

Eti Magufuli alipigana vita na mabeberu, vita ya uchumi, ni vita gani alishinda dhidi ya Western Impelialism?

Tanzania iliingia uchumi wa kati mapema sana. Bila kuwashinda western imperialism bwawa la umeme la mwl Nyerere lisingekuwepo
Ubeberu ni mfumo siyo watu.
Kwa kutojua Magufuli na wajinga wenzake walijua beberu ni mtu. Hawakujua kwamba ni mfumo. Sishangai mpuuzi mmoja kama wewe unapinga ubeberu wakati huohuo unahoji upungufu wa dola nchini???
Hovyo kabisa
 
Ila huyu rais anawawashawasha sio kwa kumzungumzia huko
 
Upuuzi, wakati wa Mwinyi nchi ilifilisika, yaani 1992, kila kitu kilikuwa stagnant Mkapa akainua, growth gap ilikkuwa kubwa na gains zikawa kubwa wakati wa mkapa na JK, kufikia kwa JPM lile gap lilizibwa na growth ikawa normal. Usilete upuuzi hapa
Unachekesha sana mkuu, so Kikwete alirudisha Nchi pre Mwinyi? Hapana data nimeweka, Ukiangalia hapo 1988 tulikua $211, kweli 1992 uchumi ulidondoka hadi $172 na 1994 hadi $154

Uchumi wa Mwinyi uli recover mapema tu Ukiangalia hapo 1997/98 tayari Mkapa Alisha pita peak ya Mwinyi na ukawa na Uchumi Mkubwa,

Mpaka kikwete anaacha Nchi uchumi wetu ni karibia Mara 5 ya wa Mwinyi tulishapita hizo zama zamani tu.


2015 inareflect kwa JPM? JPM itaanza reflection 2017, 2018, growth ipo, 2019 growth, Pamoja 2021 despite COVID; unataka kusema nini?
Ndio ina reflect kiasi si ndio tumbua tumbua na Decision za kipuuzi zilipoanzia?

Kikwete Uchumi ulikua unakua Despite of Recession wakati Ule, Covid Uchumi wa Dunia haujaanguka kama Ulivyoanguka kipindi Cha Econimic Crisis 2007 mpaka 2009, Uchumi wa Dunia ulidondoka kwa Asilimia 5 kipindi hiki, ila Wa Kwetu pato ilipanda Asilimia za kutosha tu kaangalie Graph la juu.

Na hata Miaka uliosema ya Magu growth ilikua ndogo sana asilimia 1 sijui asilimia 3 etc angalia growth za wenzake hadi Asilimia 20 zilifika.
 
Hivi nikimuita jina Baya rais wangu Dkt Rais Samia nitaonekana nina hekima japokuwa nipo jukwaa huru??? Kuna vitu vingine tumieni akili
Hajamwita jina baya Mzee magufuli ila ametoa maoni yake tu,kumbuka pia hatuwezi kuwa na maoni yanayofanana. Wapi watu wanaomuona magufuli kuwa alikua the best president ever. Kuna watu pia wanaona magufuli alikua the worst president kwa nchi yetu, kila mtu amwage point zake.

Wewe ukiwa team magufuli lazima ukereke unapoona watu Wana muelezea kwa mabaya au mapungufu yake,hiyo siyo sababu ya mtoa point kupoteza heshima hapa jf. Anaweza poteza heshima kwako kama supporter wa Mzee Magufuli .
 
Hajamwita jina baya Mzee magufuli ila ametoa maoni yake tu,kumbuka pia hatuwezi kuwa na maoni yanayofanana. Wapi watu wanaomuona magufuli kuwa alikua the best president ever. Kuna watu pia wanaona magufuli alikua the worst president kwa nchi yetu, kila mtu amwage point zake.

Wewe ukiwa team magufuli lazima ukereke unapoona watu Wana muelezea kwa mabaya au mapungufu yake,hiyo siyo sababu ya mtoa point kupoteza heshima hapa jf. Anaweza poteza heshima kwako kama supporter wa Mzee Magufuli .
Mimi ni team Rais Dkt Samia tena chawa kweli kweli, ila napenda kuheshimu viongozi wetu, ni taswira ya taifa na utaifa wetu. Siwezi anza mbeza kiongozi kisa tu alikuwa na msimamo tofauti na nilivyofikiria, dhana ya uongozi ni dhamana kubwa bila kuwa na kiongozi na mfumo imara ni vita na mauaji. Tujenge utamaduni wa kuheshimu viongozi wetu
 
Mimi ni team Rais Dkt Samia tena chawa kweli kweli, ila napenda kuheshimu viongozi wetu, ni taswira ya taifa na utaifa wetu. Siwezi anza mbeza kiongozi kisa tu alikuwa na msimamo tofauti na nilivyofikiria, dhana ya uongozi ni dhamana kubwa bila kuwa na kiongozi na mfumo imara ni vita na mauaji. Tujenge utamaduni wa kuheshimu viongozi wetu
Kama kiongozi aliharibu wakati wa utawala/uongozi wake tusijadili mapungufu na mabaya yake?
 
Kama kiongozi aliharibu wakati wa utawala/uongozi wake tusijadili mapungufu na mabaya yake?
Ni kukosa hekima kwa yule anayewaza mabaya tu kwa wenzie. Dkt Magufuli kama ilivyo kwa Dkt Samia, siyo wao bali ni mifumo ndiyo yenye maamuzi. Usipende kulaumu
 
Unarudia kosa lile lile unaloliona kwa mwenzako !!!
Kwanini Magufuli asikosolewe? Tuliogopa kipindi kile yupo madarakani lakini siku hizi at least Uhuru wa kujadili. Hata JF wamepunguza kufuta mada hasi dhidi ya serikali.
 
Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dealy kwa kukurupuka kwake Magufuli!

Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
Vyeti feki kila mkikumbuka ajira mlitumbuliwa na Magufuli roho zinawauma mnakurupuka kuanzisha uzi wa kumkejeli na kumzihaki
 
Ni kukosa hekima kwa yule anayewaza mabaya tu kwa wenzie. Dkt Magufuli kama ilivyo kwa Dkt Samia, siyo wao bali ni mifumo ndiyo yenye maamuzi. Usipende kulaumu
Maamuzi ya serikali yanaakisi msimamo na mapenzi ya kiongozi mkuu ambaye ni Rais. Mfano Serikali ya Magufuli ndiyo ambayo inaongoza kwa kupitisha Sheria mbaya toka tumeingia mfumo wa vyama vingi ambazo hazikua na maslahi kwa wananchi bali watawala na CCM . Sheria ya habari,Sheria ya uchaguzi,Sheria ya kuzuia viongozi washtakiwe nk. Hii ina maanisha Mzee Magufuli hakua mpenda haki.
 
Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dealy kwa kukurupuka kwake Magufuli!

Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
Alikuachia vichanga video ngapi!?
 
Hivi huo Uhuru wenu mnaolazimisha kumkejeli Jpm ni wa aina gani mbona hamdai uhuru wa kumsema sema baba yako
Kuna kejeli kwenye post zangu? Hapa tujadili utawala wa Magufuli na kila mtu anatoa maoni yake kutokana ufahamu wake. Wewe post mazuri yake pia lakini usikomae na wenye maoni hasi dhidi ya mwendazake.
 
Maamuzi ya serikali yanaakisi msimamo na mapenzi ya kiongozi mkuu ambaye ni Rais. Mfano Serikali ya Magufuli ndiyo ambayo inaongoza kwa kupitisha Sheria mbaya toka tumeingia mfumo wa vyama vingi ambazo hazikua na maslahi kwa wananchi bali watawala na CCM . Sheria ya habari,Sheria ya uchaguzi,Sheria ya kuzuia viongozi washtakiwe nk. Hii ina maanisha Mzee Magufuli hakua mpenda haki.
Nadhani unachuki binafsi hata kama nikikuelewesha huwezi elewa. Mnajifanya kuwa eti mnamsema vibaya Dkt Magufuli kwa mabaya mnasahau hata Dkt Kikwete enzi zake aliruhusu mwandishi wa habri kuuawa mchana kabis na mfano pia Dkt Ulimboka mpaka leo ni chizi chizi baada ya kipigo ila akili zenu eti mnataka kumkomoa mtu ambaye ni mzalendo na alishafariki. Poleni sana kwa kuendelea kumfanya ajenda ya mazuri
 
Back
Top Bottom