Eti Magufuli alipigana vita na mabeberu, vita ya uchumi, ni vita gani alishinda dhidi ya Western Impelialism?

Eti Magufuli alipigana vita na mabeberu, vita ya uchumi, ni vita gani alishinda dhidi ya Western Impelialism?

Lets assume tumekubali alikopa mpaka tukawa kwenye Red mark,
1. Je matokeo ya mikopo ya Red Mark yalionekana au hayakuonekana?
2. Km tulikua kwenye Red Mark, Je tumewezaje kuendelea kukopesheka?
3. Now tunakopa kuliko alivyokopa yeye, Je now tupo kwenye Mark ya rangi gani?
4. Je matokeo ya Mikopo ya sasa ya above Red mark inaonekana?

Ningekuwa na uwezo ninepiga risasi nchi nzima tuanze upya, kuna vijana akili zao ni nzito unawezaje kusema magufuli katiwela kwenye red mark wakati matokeo kila mtu aliyaona?

Hawa jamaa sasa hivi ndo balaa zito wanakopa wanabinafsisha lakini hakuna kitu kinaenda yani nchi imestop, mradi naona bado unaenda kwakusua sua ni SGR tu sioni kingine kinaenda awamu hii ni kelee na maagizo kila siku
 
Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dearly kwa kukurupuka kwake Magufuli!

Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
Hakwenda hata mara moja huko kwa mabeberu na miradi mingi akaianzisha na inaendelea kuifaidisha nchi kwa ujumla.

Alihitajika kiongozi jasiri kuweza kuanzisha ATCL upya na inaendelea kununua ndege kila kukicha. Alihitajika jasiri kuweza kujenga flyovers hizi za Dar licha ya wizara nzima kuwa na wapigaji wa kila aina wasiojali kesho ya nchi itakuwa vipi.

Alihitajika kiongozi jasiri kufikiria tu kujenga SGR inayokwenda kuitambulisha Tanzania kibiashara. Alihitajika jasiri kuweza kuanzisha mradi wa umeme wa maji uliopingwa na mabeberu wakishirikiana na madalali wao wa humu nchini.

JPM alikuwa ni mmoja tu na ni rahisi kutumia media kumchafua ili hao wazungu waonekane ni washindi, ni mbinu zile zile za wakati wa ukoloni zinazotumiwa mpaka leo hii.
 

Tanzanian Leader Who Downplayed Pandemic Dies​


President John Magufuli’s complex legacy is overshadowed by his repeated dismissals of the coronavirus.​




MARCH 18, 2021, 4:18 PM
Tanzanian President John Magufuli, who drew international condemnation for dismissing the threat of the coronavirus pandemic and refusing to obtain vaccines for his country, has died at the age of 61, possibly due to complications from the coronavirus.

But he became increasingly authoritarian over time, centralizing the presidency’s powers and cracking down on journalists and political opponents. He died just five months after being reelected for a second term in a vote that independent observers say was marred by allegations of fraud and voter intimidation.

As the coronavirus pandemic swept across the world, Magufuli set himself apart from other African and world leaders by dismissing the severity of the pandemic and refusing to purchase vaccines for his country.
Opposition leaders say that Magufuli died after contracting the coronavirus, though the Tanzanian government says he died of a heart attack after being admitted to a Dar es Salaam hospital on March 6.

The president was last spotted on Feb. 27, and his conspicuous absence fueled rumors about his ill health. Until then, the late Tanzanian president was a vehement COVID-19 denier, even as hospitals were inundated and religious leaders sounded alarm bells about the number of funerals they were presiding over. Still, Magufuli’s government stopped releasing any statistics on COVID-19 in May of last year and then in June declared the country coronavirus-free.


For months, the health ministry failed to implement a response, instead encouraging steaming, traditional remedies, and prayer. When Denmark reported that two of its citizens tested positive for the coronavirus after traveling to Tanzania, Magufuli grudgingly conceded the presence of the virus in his country, but he blamed Tanzanians who traveled abroad for bringing the virus home. He was equally skeptical of COVID-19 vaccines, even as the World Health Organization chastised him.
Kwa hiyo hiyo corona Baada ya kumuua Magu ndio ikaishia hapohapo au iliendelea?
Maana zile mishe za kumuaga na kumzika Magu zilikusanya umati mkubwa sana wa watu kama ni kweli sidhani kama Temeke, Amana na Mwananyamala zingeweza kuhifadhi hi hao wagonjwa
 
Kwa hiyo hiyo corona Baada ya kumuua Magu ndio ikaishia hapohapo au iliendelea?
Maana zile mishe za kumuaga na kumzika Magu zilikusanya umati mkubwa sana wa watu kama ni kweli sidhani kama Temeke, Amana na Mwananyamala zingeweza kuhifadhi hi hao wagonjwa
SOMA EPIDEMIOLOGY OF CORONA VIRUS
 
Back
Top Bottom