Eti Mavazi ya wanawake yanachangia kupungua kwa nguvu za kiume?

Eti Mavazi ya wanawake yanachangia kupungua kwa nguvu za kiume?

crome20

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2010
Posts
1,193
Reaction score
810
Kwa Muda sasa nimekuwa nikisoma hoja katika mijadala juu ya uvaaji usiofaa kama vile nguo fupi, nguo za kubana, mipasuo kupitiliza kuwa ni chanzo cha wanaume wengi kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa kwa maelezo kuwa, yale maumbile ambayo yanasisimua kuwapo kwa tendo la ndoa, tumekuwa tukiyaona kwa urahisi hivyo hamu ya kuyaona haipo tena.

Lakini baada ya kutafakari jambo hili na kupitia majarida mbalimbali, nimegundua kuwa tatizo letu wala siyo hilo, maana waathirika wa kwanza wangekuwa wenzetu wa Ulaya ambao tunachokiona hapa labda ni 1/4 ya kile kinachofanyika kwao. Ukweli ni kwamba watu wengi wana stress ya maisha kutokana na uchumi mbovu, ndoa au mhusiano yasiyo na upendo n.k .

Pia mapenzi ni taaluma, watu wengi hawajui kupenda au kupendwa, hawajui kufaidi hali ya upendo, na wengine walishindwa kuchaguana vizuri matokeo yake wanaona mummke ni kero, na ndio maana mchepuko umekuwa ukijaza hiyo vacuum kiurahisi. Yaani unaenda kazini na mkeo, hamjataniana hata kidogo na kucheka kimahaba,mmenuna njia nzima unategemea nini kama si kusingizia mavazi.

Hebu tufunguke.
 
Kukurupuka kwao tuu... na kula atifishoo, dume ziiiimaa eti chps yai anakula kutwaa sasa unadhani nini??? na badooo wataishiwa mpk nguvu za kutazamaa kwa ujinga wao!
 
Hahaha hiyo comment imeniongezea siku
 
Hahahha.ww naona haijakuongezea siku.duh!eti na bado wataishiwa adi.nguvu za kutazama.hahhahaaah.ni shigidiii
 
Ukiona sana unakinai.

Wadada watapinga hili lakini hatimaye kila mdada ni shahidi humu kuhusu uwezo wa wanaume wengi, kimoja tu hamu kwishney.

Unafanya kuondoa hamu ya ngono tu. Hamasa hakuna sana maana huoni cha tofauti na alivyokua na nguo. Ni ukweli mchungu kwa wadada.
 
Watu wazamani walikuwa wanavaa nguo fupi ajabu,huwa nikitizama picha zao nafurahi sana

Msisingizie mavazi yaani kwa ujumla wanaume wa sasa hawawezi haya mambo,utakuta mwanaume mtanashati unasema eeeeeh hapa nimepata kumbe umepatikana hawezi kitu

Yaani basi tu
 
Watu wazamani walikuwa wanavaa nguo fupi ajabu,huwa nikitizama picha zao nafurahi sana

Msisingizie mavazi yaani kwa ujumla wanaume wa sasa hawawezi haya mambo,utakuta mwanaume mtanashati unasema eeeeeh hapa nimepata kumbe umepatikana hawezi kitu

Yaani basi tu

umeonaeee... yaani unamuona unasema jitu si ndio hili baanaa sasa nenda naye yeuuuwiii hamna kituuu ni maharage ya mbeya maji mara moja tena robo kikombe kwishaaa yashaiva na kurojekaa.
Na baadooo wamasai walinzi nk watokao vijijini na porini watawamalizia wake zaoo
 
umeonaeee... yaani unamuona unasema jitu si ndio hili baanaa sasa nenda naye yeuuuwiii hamna kituuu ni maharage ya mbeya maji mara moja tena robo kikombe kwishaaa yashaiva na kurojekaa.
Na baadooo wamasai walinzi nk watokao vijijini na porini watawamalizia wake zaoo

Na wengi wao hawapendi kuambiwa ukweli

Ukimwambia vip bby mbona mapema hivyo eti nina stress za ofisini kila siku
 
Ukiona sana unakinai.

Wadada watapinga hili lakini hatimaye kila mdada ni shahidi humu kuhusu uwezo wa wanaume wengi, kimoja tu hamu kwishney.

Unafanya kuondoa hamu ya ngono tu. Hamasa hakuna sana maana huoni cha tofauti na alivyokua na nguo. Ni ukweli mchungu kwa wadada.

Mbona wenzako nguvu wanazo wanarudia hata mara 10?
wao wanatembea na miwani ya mbao??
 
Kuna dada nilikutana nae wiki iliyopita amevaa top imeandikwa "The worth vintage" kifuani. Kwa jinsi alivyokuwa ameivaa na maumbile yake, nikiri tu niliishiwa nguvu za kiume ikabidi nikae kwenye kiti kwa muda kwanza. Long story short, that vintage was really worth it.
 
Naandika huku kamwili kananisisimka jamani...Mwanaume rijali uliyekamilika huwezi kutamka hadharani et nguo za wadada zinatupunguzia nguvu za kiume!!
Mbona wanaume wenzako wanazo?
Wewe kama nguvu huna huna tu kwa matatizo yako binafsi!!
Mtukome!!
 
Naandika huku kamwili kananisisimka jamani...Mwanaume rijali uliyekamilika huwezi kutamka hadharani et nguo za wadada zinatupunguzia nguvu za kiume!!
Mbona wanaume wenzako wanazo?
Wewe kama nguvu huna huna tu kwa matatizo yako binafsi!!
Mtukome!!
Lakini nanyi mnatimiZa sehemu yenu? Au mkiguswa ndo kwanza unajigeuza kwa uvivu kama unasumbuliwa vile,lazima isinyae
 
Watu wazamani walikuwa wanavaa nguo fupi ajabu,huwa nikitizama picha zao nafurahi sana

Msisingizie mavazi yaani kwa ujumla wanaume wa sasa hawawezi haya mambo,utakuta mwanaume mtanashati unasema eeeeeh hapa nimepata kumbe umepatikana hawezi kitu

Yaani basi tu

I can feel your pain kwa jinsi ukivyoandika lol!!!
ndo umsaidie kurudisha hizo nguvu sasa, mpikie vizuri, mkumbushe kupiga zoezi na kupunguza bia.... taratibu utaanza kuzikimbia mechi
 
Maneno ya mkosaji tu haya. Kama we rijali ni rijali tu nguo haziwezi kukusumbua
 
Mwanaume Rijali huwezi acha kumsugua mwanamke na kumridhisha kwa kigezo cha nguo,kwanza ndio nasikia leo hii...point ni hiyo ya stress za maisha au matatizo mengine!
 
I can feel your pain kwa jinsi ukivyoandika lol!!!
ndo umsaidie kurudisha hizo nguvu sasa, mpikie vizuri, mkumbushe kupiga zoezi na kupunguza bia.... taratibu utaanza kuzikimbia mechi


Labda niache kuvaa kimini na modo kwa maelezo ya mtoa mada
 
Back
Top Bottom