Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda niache kuvaa kimini na modo kwa maelezo ya mtoa mada
Hata ccm nayo imechangia, tuiondoe tu
Hata ccm nayo imechangia, tuiondoe tu
hahah modo tupa tu ila vimini endelea kuvaa... asikutishe banah
hahaha na kweli.. usijejichanganya wakati miguu hairuhusu!!!Nilifikiri modo ndio iko poa,kimini nacho kinahitaji uwe na moyo wa chuma ukizingatia miguu
Zamani waafrika walikuwa hawavai nguo kabisa wanajifunika nyeti tu na kipande cha gome la mti upepo ukipiga mambo yote hadharani sasa hao si ndio nguvu za kiume sizingekuwa hata hawajui ni nini???
Nilifikiri modo ndio iko poa,kimini nacho kinahitaji uwe na moyo wa chuma ukizingatia miguu
Mguu wako hauruhusu? pole
Kuna dada nilikutana nae wiki iliyopita amevaa top imeandikwa "The worth vintage" kifuani. Kwa jinsi alivyokuwa ameivaa na maumbile yake, nikiri tu niliishiwa nguvu za kiume ikabidi nikae kwenye kiti kwa muda kwanza. Long story short, that vintage was really worth it.
Asante
Lakini mguu hauendani na yale mambo,au vina shahabiana!!!!
Naandika huku kamwili kananisisimka jamani...Mwanaume rijali uliyekamilika huwezi kutamka hadharani et nguo za wadada zinatupunguzia nguvu za kiume!!
Mbona wanaume wenzako wanazo?
Wewe kama nguvu huna huna tu kwa matatizo yako binafsi!!
Mtukome!!
Mguu wako hauruhusu? pole
Maneno ya mkosaji tu haya. Kama we rijali ni rijali tu nguo haziwezi kukusumbua