Eti Mavazi ya wanawake yanachangia kupungua kwa nguvu za kiume?

kama ukitaka kujua hii ipo nenda kamchukue mlugaluga kutoka bush then mpeleke beach akakutane na bikini dushelele litasimama mpaka likaribie kukatika hapo ndo utajua kua kuzoea kutamama miili ilio uchi kunasababisha kupunguza man POWER
Hilo ni suala la saikologia tu. Wale wanaopita na kuona kawaida, kuwa wamethibiti akili yao na si kuwa hawana nguvu za kiume. Upooo!
 
Hilo ni suala la Saikologia tu. Wale wanaopita na kuona kawaida, kuwa wamethibiti akili yao na si kuwa hawana nguvu za kiume. Upooo!

Saikologia = Saikolojia mkuu
 
crome20

Ndoa ni shidaaah, ndio zinfanya wanaume nguvu za kiume zikate
 
Last edited by a moderator:

Huo ndio ukweli mtupu na ndio maana ngozi ya paja/hips inatofautiana na ngozi ya goti ama mguu ama mkono.kawaida ni kwamba kiungo kinachofunikwa kinakuwa na mvuto kuliko kinachoonyeshwa hovyo hovyo na kupigwa jua na uchafu.sasa wadada siku hizi mijapa na mihips nje nje na matiti yanabinuliwa/kuminywa minywa na kuyaanika nje nje kupigwa na jua na shuruba za kila aina unafikiri mwanaume akiyaona chumbani/sirini atashtuka wakati keshazoea kuyaona barabarani kila siku?vitu vya dhamani siku zote vimefichika kaka ndio maana dhahabu na tanzanite ili uipate shurti uchimbe kina kirefu na sio rahisi kuiokota hovyo hovyo barabarani
 
Ww acha ngonjera za kujifurahisha. Mbona Almasi ina thamani kuliko hizo dhahabu lkn ipo juu kuliko hizo dhahabu? Mama anapokuwa ananyonyesha mtoto, unaweza kumtamani kisa umeona titi? Wale wakimbiaji na waogeleaji unawaangalia kama unavyowacheki warembo club?
 
Ulaya hawawezi kuathirika coz ladies wao hawako na mvuto yani unaeza bambia na usidise ila mwafrika sasa ukigusa tu unamwaga
 

Umeshasema mama ananyonyesha mtoto maana yake tayari umeshaset mind yako hivyo. kuhusu waogeleaji na wakimbiaji ni ujinga tumeaminishwa na wazungu kwamba ni lazima wavae hivyo.
 
Mbona wenzako nguvu wanazo wanarudia hata mara 10?
wao wanatembea na miwani ya mbao??

Huyo anayefanya had mara 10 ni mwanaume?alafu anajisifu? Omg ona watu wanavyopotea kwa kukosa maarifa. Nani alikwambia kufanya ngono had kurudia mara 10 ndiyo justification ya kuwa na nguvu? Mapenzi mazuri na raha ni gori 1 hadi 2 kwa siku na hayo magoli ni yale ya chenga ndefu siyo ya matako matatu tayari umelala. Kufanya round nyingi ni kujiua kiafya na kuzeeka mapema.
Wanaume wanakula chips then unaenda kufanya ngono? Hivi ana utani na mwili huyi?
 
Km hufanyi mazoezi umekaa kizembe mtt wa kiume unakula na kunywa hovyo,ulevi wa kupindukia unanepeane hovyo unategemea utaweza kweli kutimiza hilo jukumu ipasavyo,no way.
Mazoezi muhimu sana yanakuweka fit mentally and physically,kula balanced diet with lots of fruits,jitahidi pia kutumia asali,kula vyakula ambavyo ni natural lzm uwe fit mazee
 

Hii ndo njia pekee ya dawa ya nguvu za kiume. Hakuna dawa yoyote dunia ya kutibu nguvu xa kiume isipokuwa hayo hapo juu na kujiamini kisaikolojia
Dawa zinazotengenezwa ni business oriented.
 
Umeshasema mama ananyonyesha mtoto maana yake tayari umeshaset mind yako hivyo. kuhusu waogeleaji na wakimbiaji ni ujinga tumeaminishwa na wazungu kwamba ni lazima wavae hivyo.

Nimefurahi kwamba umejijibu. Mavazi hayawezi kupunguza nguvu za kiume ni"kuseti mind yako" tu, zaidi yanaweza kuongeza.
 
Dume zima linakula chips mayai na fanta orange!
Bado lintumia kilevi,lipo mpaka instagram.
Unategemea nini, anakosa hadi nguvu ya kusimama akikaa sembuse ku do.
Teh teh wanaume leo kuchambwa balaa yaani hadi nawaonea huruma lol wanaume wa chips mayai oyeeeeeeee[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…