Eti mdomo wangu unanuka kama bomba la choo

Chukua number ya huyu doctor akakusaifie 0713694600
 
Puliza pafyumu au airfresh mdomoni utakuwa umetatua tatizo.
 

Anza kuvuta hata sigara inasaidia ili asisikie harufu ya ferri bali ya karakana.
 
Pole yako
 

Attachments

  • 1400341798059.jpg
    25.1 KB · Views: 182
pole mtu anayekupenda hukusaidia kupata tba ya tatizo ulilonalo sio kukwambia maneno mabaya yakuumiza ba kutoa kasoro.mimi mtoto wangu amekuja na shida hiyo pia ila nimemtibu ba kumpa matunda asikose vitamin hata moja.tafuta tiba ya kinywa kwanza.
 
Umerudi tena na vitopic vya uongo. Hujazaliwa tena.
 
Mdomo wako unamatatizo muone daktari. Huenda meno yako mabovu. Nenda kwa daktari ufanye checkup ya kinywa na meno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…