Eti mdomo wangu unanuka kama bomba la choo


Punguza kwenda chumvini..........
 
Pigs mswaki asubuhi na kabla ya kulala jitahidi kupiga mswaki kila baada ya kumaliza kula ..Kama unahisi Una mabaki kwenye meno toa kwa kutumia stick na Mara moja moja chukua Uzi upitishe katikati ya meno itakusaidia kuondoa uchafu katikati ya meno ...kwa kuanzia nena hospital kamuone dk wa meno..
 
Hili lijamaa lisanii sana...afu muongo cjui alifia apii dizain ya kina gogle
 
L
Hili lijamaa lisanii sana...afu muongo cjui alifia apii dizain ya kina gogle[/QUOTLini nimekukopa mpaka uniite msanii? Lini nimekudanganya? Karibu nitakupa na utanisifia kwa kukupa vizuri.
 
Usiku kabla ya kulala tafuna vitunguu swaumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…